have me baby
Member
- Apr 7, 2011
- 8
- 0
jamaa afumaniwa na mke wa mtu,apigwa mawe mpaka kufa,mshikaji 1 kajitokeza akauliza "hivi waliyofanya kitendo hiki anaakili kweli?watu wakamuuliza kwann?kajibu'hawaoni mvua hizi'mwenye mke akamuuliza 'ungekuw ww je?'akajibu 'ningekuwa mm ningemuachia2'.....JE ingekutokea ww mke wako wa ndoa kabisa,ungefanya nn???