have me baby
Member
- Apr 7, 2011
- 8
- 0
Hembu niambieni mana kamili ya hili neno(MAPENZI)mana nimechoka kwakulifikiria.
mapenzi mapenzi mapenzi!!!!!!!!!!!!
lbd tungemuuliza yule mwanafunzi aliyependwa sana na Yesu, ambaye aliegama kifuani mwa Yesu wakati wa chakula cha mwisho lkn pamoja na mapenzi hayo yote alimsaliti Yesu!!!!!
aaaaaahhhhhhhh!!!!!!! Mfalme suleimani akasema katika Mhubiri, mambo yote chini ya jua ni ubatili mtupu na kujilisha upepo!!!!!!!!!!
Bibilia gani hiyo uliyoisoma??
Makabayo
unapatikana wapi?....nilitaka nikueleweshe kwa nadharia na vitendo
makabayo ina stori za Yesu??...hebu ka-edit kwenye comment yako kuhusu mwanafunzi ya Yesu,
hii pasaka watu tuko-deep kwenye stori za Jesus...lol
kama uko deep nipe mstari sahihi wewe!!!
una maana gani kuniuliza biblia gani kwani ww unatumia biblia gani????
Hembu niambieni mana kamili ya hili neno(MAPENZI)mana nimechoka kwakulifikiria.
usipoteze muda kufikiria mapenzi utaumwa kichwa bureee
wewe jua tu kuwa mapenzi ni usanii na ubunifu.no habari ndefu
unapatikana wapi?....nilitaka nikueleweshe kwa nadharia na vitendo
Hembu niambieni mana kamili ya hili neno(MAPENZI)mana nimechoka kwakulifikiria.
mapenzi mapenzi mapenzi!!!!!!!!!!!!
lbd tungemuuliza yule mwanafunzi aliyependwa sana na Yesu, ambaye aliegama kifuani mwa Yesu wakati wa chakula cha mwisho lkn pamoja na mapenzi hayo yote alimsaliti Yesu!!!!!
aaaaaahhhhhhhh!!!!!!! Mfalme suleimani akasema katika Mhubiri, mambo yote chini ya jua ni ubatili mtupu na kujilisha upepo!!!!!!!!!!
unapatikana wapi?....nilitaka nikueleweshe kwa nadharia na vitendo
utaweza ?unapatikana wapi?....nilitaka nikueleweshe kwa nadharia na vitendo
Hahahahahahaha! Preta umenifurahisha sana.