jamani!

mapenzi mapenzi mapenzi!!!!!!!!!!!!

lbd tungemuuliza yule mwanafunzi aliyependwa sana na Yesu, ambaye aliegama kifuani mwa Yesu wakati wa chakula cha mwisho lkn pamoja na mapenzi hayo yote alimsaliti Yesu!!!!!

aaaaaahhhhhhhh!!!!!!! Mfalme suleimani akasema katika Mhubiri, mambo yote chini ya jua ni ubatili mtupu na kujilisha upepo!!!!!!!!!!
 
mapenzi mapenzi mapenzi!!!!!!!!!!!!

lbd tungemuuliza yule mwanafunzi aliyependwa sana na Yesu, ambaye aliegama kifuani mwa Yesu wakati wa chakula cha mwisho lkn pamoja na mapenzi hayo yote alimsaliti Yesu!!!!!

aaaaaahhhhhhhh!!!!!!! Mfalme suleimani akasema katika Mhubiri, mambo yote chini ya jua ni ubatili mtupu na kujilisha upepo!!!!!!!!!!

Bibilia gani hiyo uliyoisoma??
 
makabayo ina stori za Yesu??...hebu ka-edit kwenye comment yako kuhusu mwanafunzi ya Yesu,
hii pasaka watu tuko-deep kwenye stori za Jesus...lol

kama uko deep nipe mstari sahihi wewe!!!

una maana gani kuniuliza biblia gani kwani ww unatumia biblia gani????
 
kama uko deep nipe mstari sahihi wewe!!!

una maana gani kuniuliza biblia gani kwani ww unatumia biblia gani????

wasomaji wa biblia wanajua kabisa aliye-egama kifuani kwa Yesu alikuwa anaitwa Yohana, mwanafunzi aliyempenda sana,
Na aliye msaliti anaitwa Yuda Iskarioti..
nafikiri nimejibu..
 
hembu watafute Speaker na Ivunga
hao wanajua mizizi mpaka matawi..
ya hilo neno..
 
mapenzi mapenzi mapenzi!!!!!!!!!!!!

lbd tungemuuliza yule mwanafunzi aliyependwa sana na Yesu, ambaye aliegama kifuani mwa Yesu wakati wa chakula cha mwisho lkn pamoja na mapenzi hayo yote alimsaliti Yesu!!!!!

aaaaaahhhhhhhh!!!!!!! Mfalme suleimani akasema katika Mhubiri, mambo yote chini ya jua ni ubatili mtupu na kujilisha upepo!!!!!!!!!!


wewe hebu karudie kusoma tena upya........
 
Back
Top Bottom