Huwa najiuliza maswali mengi, kwa ufahamu wangu mdogo najua salamu ni kujuliana hali baina ya watu
Ila napata mkanganyiko kwenye salamu kwa kutumia neno shikamoo maana naona halina maana ya kujua hali kwani ukisalimiwa shikamoo jibu ni marhaba, kwahiyo hata kama unatatzo utajibu marhaba
Mbaya...
Niache blah blah nyingi twende moja kwa moja kwenye swali langu la msingi.
Katika kiswahili kuna maneno au viambishi ambavyo vinaashiria kukubali au kukanusha unachodhamiria kusema.
Sasa katika salamu ya Hujambo tumezoea kuitikia Sijambo, ambayo ni kukanusha.
Mwenye ufafanuzi wa hii salamu...
Hili Suala la Hii Salam ya Shikamoo limekuwa na Ukakasi Kidogo, watu wengi katika makundi ya watu wazima, wazee, na vijana wa makamo wamekuwa hawapendi salamu hii zaidi na zaidi , makundi haya ya watu huwa hawapendi kusalimiwa na makundi ya watu wakubwa wenzao mfanyo mzee kusalimiwa na mtu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.