Siku zote mtu ambaye yuko single hua anaandamwa na kitu kinachoitwa stress zisizo na maana!!yaan ful hasira,wivu,chuki ni shiiiiida yaani mfano mzur cheki lifestyle ya ma-sister wengii huwaga na gubu!hzo ni side effect za kuwa single!! Double raha sana teena upate anayekupeeenda uUuuh!
na bwana mushi usimsahau mbe
ur right though not 100%Pesa haileti raha wakati mwingine
Mmmh usinifikirie vibaya miye napata raha nimewaza tu maana ukimwa single hakunaga makuu but upweke ndo utakumaliza.
Ila kwa wengine ni karaha ndomaana nikatoa hayo
Ni raha kama jamaa Ana pesa ya kukutimizia nahitaji yako yote. Kama ni ya maneno tu ni karaha tupu
Kitendo cha wewe tu kufikiri kuwa katika aina fulani kuna makuu au hakuna hilo pekee ni tatizo
Kwanini unadhani nimekufikiria vibaya?
Hiyo vibaya ni ipi?
mapenzi karaha jamani mi ndo maana sipendi kila kuulizwa mara uko wapi mara unafanya nini mi akaa niko huru na nafsi yanguNilikuwa nawaza hivi ningekuwa single roho yangu isingekuwa inamuwaza nimpendae,ningekuwa single nisingewaza yupo na nani maana nisingemjua,ningekuwa single nisingeumia kutokumjulia hali kila aamkapo au akilala ,ningekuwa single sisingewaza kuzungumza chochote bila kumkwaza pengine pia nisingewaza ngono,ningekuwa single...............
Kuwa huru kuna raha yake ila mapenzi nayo yana umuhimu wake.
Hivi mapenzi ni raha au karaha?
Mmmh we hujapenda kuulizwa kuna raha yake. Japo lol uhuru nao raha