Nilikuwa nawaza hivi ningekuwa single roho yangu isingekuwa inamuwaza nimpendae,ningekuwa single nisingewaza yupo na nani maana nisingemjua,ningekuwa single nisingeumia kutokumjulia hali kila aamkapo au akilala ,ningekuwa single sisingewaza kuzungumza chochote bila kumkwaza pengine pia nisingewaza ngono,ningekuwa single...............
Kuwa huru kuna raha yake ila mapenzi nayo yana umuhimu wake.
Hivi mapenzi ni raha au karaha?
Huu mguno ni wa utamu au uchungu??????
Teh teh teh.... Kwi kwi kwi.... Hahahaaaaaa!!!!!
Raha kama mnapendana,karaha kama hupendwi/mapenzi yamepungua/kuchuja kabisaaaa!!!
Ruttashobolwa ukitafuta malaika utaumia zaidi viugomvi kidogo sunna kwenye mapenzi.lazima ujue side b ya mwenzi wako sio kila siku mnacheka tuuuRaha kama mnapendana,karaha kama hupendwi/mapenzi yamepungua/kuchuja kabisaaaa!!![/QUOTEU
Tatizo watu wanatafuta malaika.
Raha kama mnapendana,karaha kama hupendwi/mapenzi yamepungua/kuchuja kabisaaaa!!!
Mean what?
Kivipi mkuu nifafanulie kidogo