Hii picha ya Rais Samia imenibubujisha machozi ya furaha

Hii picha ya Rais Samia imenibubujisha machozi ya furaha

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
13,709
Reaction score
25,489
Wakuu

Kiukweli Rais Samia anapambana sana kuinua hali za watanzania kiuchumi.

Hii picha imenibubujisha sana machozi ya furaha.

Screenshot_20250808_071654_Instagram.jpg
 
Mshana Jr umenipotezea inbox,kale kajamaa ka kihehe kameshindikana au tuhesabu masaa,kapigwe na radi hapo au tego flan amazing.

Kamenivurugia mipanga mura,kajitu kanadhurumu baba yake anasema tumalizane alipe kanasema hujui nilikotoka na huyu jamaa.

Kuna mwingine alinipiga tukio akaenda kupigwa risasi china kwenye black market huko,lakini haka kahehe kamenitoa kwenye project manifesto yangu ya Miaka saba,mradi wa sasa umepunguza speed sababu ya madhara ya yalotokana na kufeli kwa mradi huu wa kilosa huko ifwagi,mdabulo huko.

In fact wahehe wananikera sana
 
Mshana Jr umenipotezea inbox,kale kajamaa ka kihehe kameshindikana au tuhesabu masaa,kapigwe na radi hapo au tego flan amazing.

Kamenivurugia mipanga mura,kajitu kanadhurumu baba yake anasema tumalizane alipe kanasema hujui nilikotoka na huyu jamaa.

Kuna mwingine alinipiga tukio akaenda kupigwa risasi china kwenye black market huko,lakini haka kahehe kamenitoa kwenye project manifesto yangu ya Miaka saba,mradi wa sasa umepunguza speed sababu ya madhara ya yalotokana na kufeli kwa mradi huu wa kilosa huko ifwagi,mdabulo huko.

In fact wahehe wananikera sana
My apology niko safarini ngoja nirejee nakukumbuka
 
Ni mwendo wa kububujikwa tu kwa kweli, na mimi nabubujikwa mbane
 
Back
Top Bottom