chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,569
- 28,486
Waaaat?!! Bashite yupo Arusha??Jamaa liko Arusha et linatembea na kimuli muliii na magari yanazuiliwa apitee na msafara wake
Waaaat?!! Bashite yupo Arusha??Jamaa liko Arusha et linatembea na kimuli muliii na magari yanazuiliwa apitee na msafara wake
Inategemea mkuu,,usikariri.Waziri na mkuu wa mkoa wapo level moja hata mshahara. Kumpokea siyo swala la lazima km ilivyo kwa Rais, akaamua mwenyewe.Kiitifaki hata Waziri hapokelewi na Mkuu wa Mkoa. Waziri anapokelewa na RAS au DC. RC analazimika kumpokea Rais, Makamu Rais na Waziri Mkuu. That means cheo cha RC kipo kwenye rank moja na Waziri.
Kanakana ndio kitu gani mkuu au ulitaka kusema KARAKANANasikia alienda kny kanakana moja huko moshi inayoitwa RSA rajinder motors ni wataalam wa ku-customise magari yaani ukiwapa gari bovu wanaligeuza kuwa jipya..hivyo alipeleka magari mabovu ya mkoa wa Dar ili yarudishwe upya.
Kati ya hào watatu nan ambae hajapiga kitabu hapo? Au akili hazichaji?....Angalia jinsi Mama anavyonyenyekea kwa jamaa ambaye wanalingana cheo na ni mgeni mkoani kwake?Hii ni protocol ya wapi kwanza?mkuu wa mkoa wa dsm kutembelea kilimanjaro na kupokelewa na mkuu wa mkoa na Dc sitashangaa hata huyo polisi wa nyuma kuambiwa ni Rpc wa kilimanjaro?
Damn,au huyu bandugu ni waziri???dah mama kaweka pose la heshima halafu in reality yeye ndiye alitakiwa aheshimiwe maana kapiga kitabu cha ukweli na kichwa kinachaji kwelikweli,life sio fair aisee haswa Tanzania.
View attachment 538269
SahihiInategemea mkuu,,usikariri.Waziri na mkuu wa mkoa wapo level moja hata mshahara. Kumpokea siyo swala la lazima km ilivyo kwa Rais, akaamua mwenyewe.
Connect dots typing errorKanakana ndio kitu gani mkuu au ulitaka kusema KARAKANA
Kweli kabisa mwanaume kuwa mbea ni tatizo sanaMleta mada huo unyenyekevu umeuona kwa dalili zipi?
mbona mimi naona wote ni kama wananyenyekeana tu?
wote wameshika mikono sawa,
Mimi simtetei yeyote hapo ila mleta mada unaonekana unchuki tu na rc wa Dar,
Piga kazi jomba tengeneza maisha yako ndio muhimu kwako kuliko kufuatilia vitu visivyo na mafuaa direct kwenye maisha yako.
Time will tell the truth!........ Let time tell the truth!!Tatzo hata ndan ya Chama chak ni mtihani...
Kama ni kuhusu kusubiri Muda Uongee haina tatzo...Time will tell the truth!........ Let time tell the truth!!
ana ID kibao? mbona wanasema william????cocochanel ndio huyohuyo Lizaboni ,,zezeta la Lumumba