Pilipili usoila yakuashiani?
Tatizo lako mwandishi hujui mkuu poo ninani na kwasababu hiyo hutokaa ujue mkuu poo ninani na anamchango gani ktk uongozi huu .Angalia jinsi Mama anavyonyenyekea kwa jamaa ambaye wanalingana cheo na ni mgeni mkoani kwake?Hii ni protocol ya wapi kwanza?mkuu wa mkoa wa dsm kutembelea kilimanjaro na kupokelewa na mkuu wa mkoa na Dc sitashangaa hata huyo polisi wa nyuma kuambiwa ni Rpc wa kilimanjaro?
Damn,au huyu bandugu ni waziri???dah mama kaweka pose la heshima halafu in reality yeye ndiye alitakiwa aheshimiwe maana kapiga kitabu cha ukweli na kichwa kinachaji kwelikweli,life sio fair aisee haswa Tanzania.
View attachment 538269
Umejibu au umeuliza swali na ww?Kati ya hào watatu nan ambae hajapiga kitabu hapo? Au akili hazichaji?....
Umefanya vyemayakuashiani=yakuwashia nini
Ngoja nimsaidie mama yangu Faiza
Mleta mada huo unyenyekevu umeuona kwa dalili zipi?
mbona mimi naona wote ni kama wananyenyekeana tu?
wote wameshika mikono sawa,
Mimi simtetei yeyote hapo ila mleta mada unaonekana unchuki tu na rc wa Dar,
Piga kazi jomba tengeneza maisha yako ndio muhimu kwako kuliko kufuatilia vitu visivyo na mafuaa direct kwenye maisha yako.
Jamuhuri ipi kama ni ya muungano basi tujiandae kuhamia malawiKwa nature ya sisi Watanzania tulivyo kama makondoo amen amen nakuambia hayana mwisho haya, jamaa anakuja kuwa Rais wa jamhuri!![emoji53][emoji53][emoji53]......... believe me!
Kabila lake la kinyaturu wamekaa kutongozwa tu hawajuagi kingineMbona mama anna kaweka pozi la kawaida tu. Huwezi jua malezi ya wengine sio kila mtu yuo kishari shari kama akina mdee.
Mtoa mada. Unaonekana wale sitaki nataka. Hii picha umeitoa huko. Kwa mahaba kabisa. Ulipoona tu Bwana mheshimiwa ukalowa. Ukakosa pumzi. Ukaona uje utuletee uzi usioleweka nia wala malengo. Katika kutangaza ujinga wako unataka kumdhalilisha Mama wa Watu. Huwezi kosa wajinga wenzako wengi tu. Hasa wale wanachama waliongia chama kwa sahihi ya viroba hawajui siasa wao wanapinga mpaka rangi ya chupi walizovaa wenyewe na kussaport hata mavi. Naona wivu. Tu kama wa mwanamke aliyetalikiwa na PM hakuna La ziada. Jitihada zako za kuleta picha ni mahaba tosha. Hongera kwa penzi La sizitaki mbivu hizi. Ukicomment kwa jinga. Ongea Lugha yake. Mnadhalilisha sna JF
Kabila lake la kinyaturu wamekaa kutongozwa tu hawajuagi kingine
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamuhuri ipi kama ni ya muungano basi tujiandae kuhamia malawi
Huu ujinga jinga wetu sisi wa tz wa kuwa kama makondoo amen amen nakuambia one day we will pay a huge price!Jamuhuri ipi kama ni ya muungano basi tujiandae kuhamia malawi