DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Atamaliza lini ?Hawezi kamweee,Mkulu akimaliza muda wake na yy ndio bac tena amini hivyo...
Labda kagame ashauri tofauti
Atamaliza lini ?Hawezi kamweee,Mkulu akimaliza muda wake na yy ndio bac tena amini hivyo...
Kipi wariyoba ni mwanamke, sasa hapo yupo wapi?Hilo la katikati ndilo kipi warioba? Poooooo!!
Mwanasheria mzima ananyenyekea kwa BASHITEAngalia jinsi Mama anavyonyenyekea kwa jamaa ambaye wanalingana cheo na ni mgeni mkoani kwake?Hii ni protocol ya wapi kwanza?mkuu wa mkoa wa dsm kutembelea kilimanjaro na kupokelewa na mkuu wa mkoa na Dc sitashangaa hata huyo polisi wa nyuma kuambiwa ni Rpc wa kilimanjaro?
Damn,au huyu bandugu ni waziri???dah mama kaweka pose la heshima halafu in reality yeye ndiye alitakiwa aheshimiwe maana kapiga kitabu cha ukweli na kichwa kinachaji kwelikweli,life sio fair aisee haswa Tanzania.
View attachment 538269
Anaende kuiga baadhi ya mambo adimu huko na kujaribu kuangalia nini kina wafanya hawa watu wa mkoa huo kuwa binaadabu wasiyo danganyika kwa kofia za kijani na buku 10Hivi kwanini Kilimanjaro kila mara hana kazi za kufanya?mbona wa mikoa mingine hawaji kwake?
Wacha bwanaJamaa liko Arusha et linatembea na kimuli muliii na magari yanazuiliwa apitee na msafara wake
Dar na sifa na ujanja wote ule hawana hiyo karakana??? InterestingNasikia alienda kny kanakana moja huko moshi inayoitwa RSA rajinder motors ni wataalam wa ku-customise magari yaani ukiwapa gari bovu wanaligeuza kuwa jipya..hivyo alipeleka magari mabovu ya mkoa wa Dar ili yarudishwe upya.
Sa we ulitakaa akae vipi au asimame vipi?Angalia jinsi Mama anavyonyenyekea kwa jamaa ambaye wanalingana cheo na ni mgeni mkoani kwake?Hii ni protocol ya wapi kwanza?mkuu wa mkoa wa dsm kutembelea kilimanjaro na kupokelewa na mkuu wa mkoa na Dc sitashangaa hata huyo polisi wa nyuma kuambiwa ni Rpc wa kilimanjaro?
Damn,au huyu bandugu ni waziri???dah mama kaweka pose la heshima halafu in reality yeye ndiye alitakiwa aheshimiwe maana kapiga kitabu cha ukweli na kichwa kinachaji kwelikweli,life sio fair aisee haswa Tanzania.
View attachment 538269
Bora useme wewe Mkuu.Mleta mada huo unyenyekevu umeuona kwa dalili zipi?
mbona mimi naona wote ni kama wananyenyekeana tu?
wote wameshika mikono sawa,
Mimi simtetei yeyote hapo ila mleta mada unaonekana unchuki tu na rc wa Dar,
Piga kazi jomba tengeneza maisha yako ndio muhimu kwako kuliko kufuatilia vitu visivyo na mafuaa direct kwenye maisha yako.
Wewe ni mleta mada?Na wewe ungeendelea kupiga kazi tu ukaachana na kufatilia thread za watu hapa kwani hazikusadii pia katika maisha yako yako ya kawaida na pia hazikuzuii kufanya maisha yako.
Mwenyewe hapo unaona umeandika bonge la comment Eeeh!! unasubiri likes tu 😀😀😀😀Sasa wew kwa akili yako unahisi unaweza kuelewa nini hapo?
Mambo mengine ni kwa ajili ya watu wenye utimamu wa akili tu. Kama umenielewa niambie nkutumie picha ya uelewa wako na utaelewa kirahisi, hivi vingine mkuu achana navyo ni vigumu kwako.
ndioUna uhakika ?
mkuu
Wewe wakija wageni kwako huwanyenyekei?adabu ya wapi hii?hebu ondoa ijinga wako hapa!Angalia jinsi Mama anavyonyenyekea kwa jamaa ambaye wanalingana cheo na ni mgeni mkoani kwake?
Hii ni protocol ya wapi kwanza? Mkuu wa mkoa wa Dar kutembelea Kilimanjaro na kupokelewa na mkuu wa mkoa na DC sitashangaa hata huyo polisi wa nyuma kuambiwa ni RPC wa Kilimanjaro?
Damn,au huyu bandugu ni waziri? Mama kaweka pose la heshima halafu in reality yeye ndiye alitakiwa aheshimiwe maana kapiga kitabu cha ukweli na kichwa kinachaji kweli kweli,life sio fair aisee haswa Tanzania.
Kwa desturi tunapaswa kuwanyenyekea na kuwakirimu wageni wetu !mi sioni hoja ya msingi hapo zaidi watu kuvaa miwani wa chuki kijitafutia stress buure!Mleta mada huo unyenyekevu umeuona kwa dalili zipi?
mbona mimi naona wote ni kama wananyenyekeana tu?
wote wameshika mikono sawa,
Mimi simtetei yeyote hapo ila mleta mada unaonekana unchuki tu na rc wa Dar,
Piga kazi jomba tengeneza maisha yako ndio muhimu kwako kuliko kufuatilia vitu visivyo na mafuaa direct kwenye maisha yako.