ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
Angalia jinsi Mama anavyonyenyekea kwa jamaa ambaye wanalingana cheo na ni mgeni mkoani kwake?
Hii ni protocol ya wapi kwanza? Mkuu wa mkoa wa Dar kutembelea Kilimanjaro na kupokelewa na mkuu wa mkoa na DC sitashangaa hata huyo polisi wa nyuma kuambiwa ni RPC wa Kilimanjaro?
Damn,au huyu bandugu ni waziri? Mama kaweka pose la heshima halafu in reality yeye ndiye alitakiwa aheshimiwe maana kapiga kitabu cha ukweli na kichwa kinachaji kweli kweli,life sio fair aisee haswa Tanzania.
Hii ni protocol ya wapi kwanza? Mkuu wa mkoa wa Dar kutembelea Kilimanjaro na kupokelewa na mkuu wa mkoa na DC sitashangaa hata huyo polisi wa nyuma kuambiwa ni RPC wa Kilimanjaro?
Damn,au huyu bandugu ni waziri? Mama kaweka pose la heshima halafu in reality yeye ndiye alitakiwa aheshimiwe maana kapiga kitabu cha ukweli na kichwa kinachaji kweli kweli,life sio fair aisee haswa Tanzania.