Kwa nature ya sisi Watanzania tulivyo kama makondoo amen amen nakuambia hayana mwisho haya, jamaa anakuja kuwa Rais wa jamhuri!!Yana mwisho haya...


......... believe me!Hawezi kamweee,Mkulu akimaliza muda wake na yy ndio bac tena amini hivyo...Kwa nature ya sisi Watanzania tulivyo kama makondoo amen amen nakuambia hayana mwisho haya, jamaa anakuja kuwa Rais wa jamhuri!!......... believe me!
Hapo naona..Kippi ndio yuko so relaxedAngalia jinsi Mama anavyonyenyekea kwa jamaa ambaye wanalingana cheo na ni mgeni mkoani kwake?Hii ni protocol ya wapi kwanza?mkuu wa mkoa wa dsm kutembelea kilimanjaro na kupokelewa na mkuu wa mkoa na Dc sitashangaa hata huyo polisi wa nyuma kuambiwa ni Rpc wa kilimanjaro?
Damn,au huyu bandugu ni waziri???dah mama kaweka pose la heshima halafu in reality yeye ndiye alitakiwa aheshimiwe maana kapiga kitabu cha ukweli na kichwa kinachaji kwelikweli,life sio fair aisee haswa Tanzania.
View attachment 538269
Jamaa ameshatusoma sisi watz, anaenda kutumia chance ya sisi tulivyo kama makondoo kuwa opportunity!!..... believe me!Hawezi kamweee,Mkulu akimaliza muda wake na yy ndio bac tena amini hivyo...
Tatzo hata ndan ya Chama chak ni mtihani...Jamaa ameshatusoma sisi watz, anaenda kutumia chance ya sisi tulivyo kama makondoo kuwa opportunity!!..... believe me!
Yani kwenye mkoa mzma wa dar ameona tatzo moja tu la magar yake mabovu?? ShameNasikia alienda kny kanakana moja huko moshi inayoitwa RSA rajinder motors ni wataalam wa ku-customise magari yaani ukiwapa gari bovu wanaligeuza kuwa jipya..hivyo alipeleka magari mabovu ya moa wa Dar ili yarudishwe upya.
Pilipili usoila yakuashiani?Angalia jinsi Mama anavyonyenyekea kwa jamaa ambaye wanalingana cheo na ni mgeni mkoani kwake?Hii ni protocol ya wapi kwanza?mkuu wa mkoa wa dsm kutembelea kilimanjaro na kupokelewa na mkuu wa mkoa na Dc sitashangaa hata huyo polisi wa nyuma kuambiwa ni Rpc wa kilimanjaro?
Damn,au huyu bandugu ni waziri???dah mama kaweka pose la heshima halafu in reality yeye ndiye alitakiwa aheshimiwe maana kapiga kitabu cha ukweli na kichwa kinachaji kwelikweli,life sio fair aisee haswa Tanzania.
View attachment 538269
Wanakuja sana sema nyie mna kiherehere cha kufuatilia ishu zake mana mnaziona dili kwenu.Hivi kwanini Kilimanjaro kila mara hana kazi za kufanya?mbona wa mikoa mingine hawaji kwake?