Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,026
Jana nakutana na hii picha ya Mzee wa Upako nazidi kushtuka tena kama kawaida yangu.
Hakuna kiumbe mwenye nyama na roho aliye salama milele. Kiburi cha uzima kinawadanganya binadamu na kufikia kujiona wao ndo wao. Huyu ni mmoja wapo kati ya viongozi wa dini waliodhani wako juu ya binadamu wote, hadi baadhi ya viongozi wakadhani ukiwa karibu naye ni baraka kumbe ni binadamu wa kawaida mwenye imani na dhambi kama wengine.Something is wrong with this man of God..
Mkuu ya kweli hayo?Huyu jamaa ni mlevi kupitiliza pia anaokota sana mademu wa bei rahisi mitaa ya Kawe,tegeta na kunduchi usiombe umkute amelewa uanze kumshangaa kujifanya unamjua anakamusi ya matusi yote!