kaka ya kweli? au team kakobe weweHuyu jamaa ni mlevi kupitiliza pia anaokota sana mademu wa bei rahisi mitaa ya Kawe,tegeta na kunduchi usiombe umkute amelewa uanze kumshangaa kujifanya unamjua anakamusi ya matusi yote!
Jaribu kutembelea pub za Kawe ile njia ya mtongani kama unaenda times FM jamaa habani akiwepo siku hiyo maraia wanafurahi, anaingiaga ile mida ya mazombi wachawi wote wamelaa!Mkuu ya kweli hayo?
Jaribu kutembelea pub za Kawe ile njia ya mtongani kama unaenda times FM jamaa habani akiwepo siku hiyo maraia wanafurahi, anaingiaga ile mida ya mazombi wachawi wote wamelaa!
Mkuu sina sababu ya kumsingizia mimi ni rasta sipo huko kwenye dini za mapokeo!kaka ya kweli? au team kakobe wewe
ila mkuuu iyo ishu ya watoto,nasikia jamaa kawala sanaaaMkuu sina sababu ya kumsingizia mimi ni rasta sipo huko kwenye dini za mapokeo!
Duh!!!Huyu jamaa ni mlevi kupitiliza pia anaokota sana mademu wa bei rahisi mitaa ya Kawe,tegeta na kunduchi usiombe umkute amelewa uanze kumshangaa kujifanya unamjua anakamusi ya matusi yote!
"Iliwezekanaje kwa adui kwenye muvi ya It kushindwa kuwadhibiti watoto na inasemwa kile kiumbe hakifi?"
"Shenzi na kifo ni nini kwani?"
Hata jiwe itafika kipindi tutahadithiana tu,"alikuwepo jiwe, kiongozi mtarajiwa wa malaika" n.kHakuna kisicho na mwisho dunia hii...
Mzee wa upako inaonekana afya yake ni dhofu kwa sasa sijui anaumwa nini?
Wewe team bapa (Konyagi)? Maana huyo jamaa ndio vitu vyake hivyo.kaka ya kweli? au team kakobe wewe
Ndio anashindwa hivyoWatashindana lakini hawatoshinda.