Hii Picha Imenishtusha sana.

Hii Picha Imenishtusha sana.

Inaelekea alikuwa anagawa Sana upako kipindikile Harafu wanawake hata mlikuwa hamsemi!
 
Hivi rasta imani yenu ipoje? Mnatumia maandiko gani?? Napenda sana utamaduni wa marasta bahati mbaya sijawahi kupata elimu kuhusu falsafa zao,naomba nipe elimu mkuu
Rasta ni dini ya kikristo, wao huabudu jumamos sawa kabisa na wasabato. Na hii ndo dini ya mwafrica tofauti na dini zetu za mapokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nakutana na hii picha ya Mzee wa Upako nazidi kushtuka tena kama kawaida yangu.
View attachment 835371
Hata kwa Ruge nilisema, bata sana huharibu maisha, udhaifu wa hizi afya zao hutokana na kula bata sana na kusahau mwili.
Huyu mchungaji alisahau kuwa Mungu huwa anaishi kwenye hekalu lake ambalo ndo mwili, na ukiuharibu mwili naye Mungu anaondoka na kuuacha mwili ukinyauka.
Kilichotokea kwa Ruge pia kinakwenda kutokea kwa Mchungaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HUYU MZEE WA UPAKO WALIWAHI HULUSHIANA MANENEO NA NEY WA MTEGO. hii ni baada ya ney kutaka kufungua kanisa lake mzee wa upako akasema eti ney muda si mrefu atatapatapa na kusaga meno. TRUE BOY akamjibu yeye ndo atahangaika na kusaga meno sasa sijui naona ya ney yametimia au?
 
Write your reply...
mzee kanyata kinyama yaani

naona anakula sana bapa,halafu msosi namna gani vipi
 
Lavda ni mgeuzo wa kuwaita watu malofa kwakuwa ni masikini huku akijitajirisha kwa ela zao
 
Msinitishe nilikuwa niende kutafuta gari za neema. Wee hivi gari hazipo tena?
 
Back
Top Bottom