njaakali minja
Member
- Aug 4, 2018
- 37
- 7
unataka kutuambia chanzo pombe??Pombe si Chai
unataka kutuambia chanzo pombe??Pombe si Chai
Hivi rasta imani yenu ipoje? Mnatumia maandiko gani?? Napenda sana utamaduni wa marasta bahati mbaya sijawahi kupata elimu kuhusu falsafa zao,naomba nipe elimu mkuuMkuu sina sababu ya kumsingizia mimi ni rasta sipo huko kwenye dini za mapokeo!
Maisha ni safariJana nakutana na hii picha ya Mzee wa Upako nazidi kushtuka tena kama kawaida yangu.
View attachment 835371
Rasta ni dini ya kikristo wanatumia bibiliaHivi rasta imani yenu ipoje? Mnatumia maandiko gani?? Napenda sana utamaduni wa marasta bahati mbaya sijawahi kupata elimu kuhusu falsafa zao,naomba nipe elimu mkuu
OK,nimekupataRasta ni dini ya kikristo wanatumia bibilia
kweli mkuu...huyu jamaa anahitaji kusaidiwa kutoka hapo kwenye shimo la nyagi.. .anaelekea kubaya...Konyagi inamaliza maini
Umenena Kiongozi.Mambo ya afya, ni kumuomba sana Mungu akujaalie uzima. Hakuna fundi wala mjanja zaidi katika hilo
Maisha ni safari
Mzee baba yeye nauli ishakata
Ni jambo la kumuomba sana Mungu.Umenena Kiongozi.
AFYA kwanza