Hii pekee ipo Rwanda

Ule ulinzi si wa kawaida mpwa, ukiwa mgeni lazima ufahamu uvurugwe na confidence itikisike kiaina maana ni zaidi ya askari walioko frontline kule Cambodia kwa jinsi walivyojicamouflage na kizuri ukiwaona tu sio askari polisi wala askari jeshi wote wana physique na body za kiaskari kiukweli sijaona askari mwenye kitambi kwa muda wangu wote Rwanda na pia idadi kubwa ya askari ni vijana kati ya miaka 18-33 yrs cha kustaajabisha hawakai kwa muda wote wawapo doria au lindo.

Ukiwajua hawana shida maana huwa hawahoji wala kuharass mtu wao ni kuhakikisha wewe na huyo mchuchu mpo salama. Ni kama masanamu vile.
Aiseee! Kweli Rwanda patamu.
 
Sema na kaukurasa kangu hako kavisa Mpwa.

Rwanda kigali ni nchi ndogo na kwa namna nilivyokatembelea nimenasa hayo kwa haraka haraka mpwa.

Nimefika ila kuna dharula imejitokeza that's why nimekuja Mwanza then soon nitarudi nimalizie mautamu.View attachment 394122
Mpwa naona umeamua kuondoa makandokando ya taarifa maana kuna watu ni wafukunyuku sana.
ulienda Car Wash?
 
Mpwa naona umeamua kuondoa makandokando ya taarifa maana kuna watu ni wafukunyuku sana.
Ahahaha! Mpwa nimeziba mianya yote ya maswali. Huyu mfukunyuku aliachia manyoya toka Siku ile mpaka Leo hii. Naona analikes tu comments za watu..kiiimya!

Si unajua mimi mwenyewe komando yosso.
 
Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.


:D:D:D:D:D:D:D:D
nimepapenda sana hapo
 
Kwenye fursa akili huwa zinachaji quickly saana...!

Kwa jinsi alivyokuwa mrembo roho ingeniuma sana kama ningemkosa...nilikuwa najiwazia tu kwamba "kwa jinsi alivyomkali nikimpata nitamchakaza" kama zali kwa hisani ya diamond platnumz nikapiga show ya maji maji usiku huo...awww!
 
Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.


:D:D:D:D:D:D:D:D
nimepapenda sana hapo
Kwenye fursa akili huwa zinachaji quickly saana...!

Kwa jinsi alivyokuwa mrembo roho ingeniuma sana kama ningemkosa...nilikuwa najiwazia tu kwamba "kwa jinsi alivyomkali nikimpata nitamchakaza" kama zali kwa hisani ya diamond platnumz akaingia kingi nikapiga show ya maji maji usiku huo huo...awww!
 
Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani, mtanisaidia tafadhali wandugu.

Magpdolo yapo hivyo kwa sababu ya maumbile yao ya kike ukigusa tu binti anapizi maji mengi humtoka hasa ukichezea harage, na hii ipo na kwa Warundi pia!
Mkuu huko rwanda kwa wazama chumvini inakuwaje ss!maana hayo maji si anaweza jikuta anakata kiu!
 
Back
Top Bottom