Hii pekee ipo Rwanda

mzee umetishaaa, ngoja tumwambie braza magu atulete watoto wa kitutsi
 
Kwanini mtanzania anafatiliwa zaidi?
 
..Sisi ndio waafrika....nahisi huyu jamaa ni hao mnawaita diaspora ila bahati mbaya yeye siyo muumini wa ukweli....amekarilishwa na vitabu,mazingira etc...wengine huwa tunawatumia na hela za nauli waje misibani..wanajifanya uzungu,uzungu uchwara...(kwa diaspora wasiojitambua kama ridima)
 
Hakuna kitu kinaniudhi kama hiyo lugha tena huandikwa na wasomi waliohitimu chuo, maneno kama Ongela badala ya hongera, ana badala ya hana, amisi badala ya Hamisi, Amisa badala ya Hamisa, apana badala ya hapana, hivi tatizo ni nini?
Shule zilikuwa hazina chaki ndiyo maana wanasumbuka.
 
..Kanatukuza uzungu tu na kanjifanya kako serious na maisha kinoma!!....tumewaona wengi mno wa aina hiyo mwisho wanaishia kuwa wachoyo wachoyo tu na hawaishi maisha halisi kabisa hapa duniani, niamin bro!!vinahesabu hadi soseji kabla havijaenda kazini na kupigia maziwa marker pen ujazo ulipoishia!!wakipata maradhi ndio hukumbuka kuna ndugu, kuna jirani,na kuna rafiki masikini ambaye ni msaada wa hali anaeweza kukusaidia....hii ndiyo afrika
 
 
Hapo umenena mkuu! Ni kweli ukanda wenye ndizi unaweza kuwa na association na maji maji songea ya wale viumbe maana na kule kila nyumba ina udizi hata mmoja.

Sometime ni raha kukutana na surprise kutafiti sana mara nyingine hakuna vibe nzuri.
Mbona wachaga na wakurya hawako na maji japo napo wanakula sana ndizi au inakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…