nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,685
Alaaa, kumbe!
sasa umelipaaaaa?
Alaaa, kumbe!
sasa umelipaaaaa?
Jamani Nyaniiiiiiiiii... mbona hujibu ama ndo umeenda kulipa sasa???
Wee vipi! mbona umeng'ang'ania sana luku?
Situmii luku mimi, if you must know.
Duh! Ama kweli wewe ni juha kama jiwe.
Mimi situmii luku. Sawa?
Nataka nijue ili kama umeshindwa kulipa niandae "lithread" la kukuchangia hiyo bill ya umeme aka "liluku" (hata kama hutaki liitwe hivyo).... humu wengi sio wabinafsiiii...
You could very well be experiencing hallucinations.
Wengine hatutaki lawama kama Yesu, kuoa tutakusikia redioni tu.
Ya nini kuingizana majaribuni hivihivi?
Situmii luku. Kigumu kueleweka hapo ni kipi?
Sasa unatumia nini juha..... (juha lazima amjue juha mwenzake)
kwahiyo unaminya umeme?
(Tazama sura ilivyokubadilika, unataka utoe na msonyo, go ahead Nyani)
Sipati picha ukiwa unanijibu, sura yako inakua katika poz gani!!!
Huh...? Teh teh teh....hivi wewe una akili timamu kweli? Kuminya umeme ndo nini? Whatever that is hatufanyi hivyo huku sisi.
Kuthibitisha kwamba wewe ni jinga. Uliandika kwa uhakika kabisa kwamba sura yangu imebadilika (sijui hata uliionaje)
Halafu hapa unaandika hupati picha sura yangu inakuwa katika pozi (toka lini sura ikawa katika pozi?) gani.
You probably need some dick to straighten you out.