hii nimeikuta mahali jamani....EBU ONA...

hii nimeikuta mahali jamani....EBU ONA...

nilikuwa nakunywa bia za ofa lakini baada ya kusoma hii post duu bia zimekataa kichwani naona umetupania vile
 
Jitoe mhanga mkuu

Kujitoa mhanga ndio hivi kisejaseja kama mtawa.

Ukisaini tu, ujue lawama ni yako, hata uwe malaika utalaumiwa kwa nini meza ya bia unailetea vinywaji vya kuleta nzi?
 
Bado hujaamua kuoa?
mie wamenilegeza bana, nimeamuriwa kuoana mwaka huu.

Nitaleta mkosi kwenye ukoo.

Kujitoa mhanga ndio hivi kisejaseja kama mtawa.

Ukisaini tu, ujue lawama ni yako, hata uwe malaika utalaumiwa kwa nini meza ya bia unailetea vinywaji vya kuleta nzi?
 
Back
Top Bottom