hii nimeikuta mahali jamani....EBU ONA...

hii nimeikuta mahali jamani....EBU ONA...

Uuuup its fun na jokes but ina ujumbe mzito . ..mengi ni ya kweli
 
si iko hapo juu kwenye "siredi" najua kuna yanayokuhusu tena hasa ya remote (no 13)...

Hakuna hata moja linalonihusu hapo.

Na kuhusu remote

13. Ubinafsi wako huo,ukikaa sebuleni remote control haiko mbali na wewe unabadilisha tu chanel,si umuulize mkeo au wanao kama nao kuna kitu wanataka kuangalia? kuna mtu aliwahi kusema eti wanaume huona remote control kama ni extension ya mb....zao.

Nina tv kwenye sun room, living room, bedroom, na jikoni. Hivyo hilo tatizo kwangu si tatizo.
 
hahaha mpaka hapo ushakubali kua ni mbinafsi, ndo maana nilikwambia no 13 inakufaa, badilikaaaaaaa....

Wewe una akili ndogo sana. Sasa kama naishi peke yangu, ulitaka nisemeje sasa?

Sihitaji kubadilika kwa chochote kile. Kila nilichonacho ni changu kwa sababu nimekipata kutokana na jasho langu. Lakini kwa vile una infertile pea-sized brain, huwezi ku-appreciate kitu kama hicho.

Wewe siyo mbinafsi?
 
Wewe una akili ndogo sana. Sasa kama naishi peke yangu, ulitaka nisemeje sasa?

Sihitaji kubadilika kwa chochote kile. Kila nilichonacho ni changu kwa sababu nimekipata kutokana na jasho langu. Lakini kwa vile una infertile pea-sized brain, huwezi ku-appreciate kitu kama hicho.

Wewe siyo mbinafsi?
Unaishi peke yako kwani uko pluto???
Em jitazame unavokasirika, unapunguza siku za kuishi ujue...
 
Unaishi peke yako kwani uko pluto???

Unaona sasa ulivyo na akili ndogo!

Em jitazame unavokasirika, unapunguza siku za kuishi ujue...

Wala sijakasirika. Zaidi ninakushangaa tu ulivyo dumb. Yaani kisa tu nimesema nina TV ndo nimekuwa mbinafsi. Well, kwa taarifa yako nina zaidi ya TV. Nina mtoto pia. I guess that makes me selfish also. Good grief!

I never thought you could be that dumb. But I was dead wrong. That I'll admit.
 
Asante mkuu,nice mada,wengi wanasahau sana majukum yao.
 
Unaona sasa ulivyo na akili ndogo!



Wala sijakasirika. Zaidi ninakushangaa tu ulivyo dumb. Yaani kisa tu nimesema nina TV ndo nimekuwa mbinafsi. Well, kwa taarifa yako nina zaidi ya TV. Nina mtoto pia. I guess that makes me selfish also. Good grief!

I never thought you could be that dumb. But I was dead wrong. That I'll admit.

Mara unaishi mwenyewe!!!!! mara una mtoto!!!!!!! anyway......
Ya nini kutoka povu Nyani, ama maboksi yamekuaffect kichwani!!!!
No wonder unavyoishi mwenyewe...
 
Dah, yaani yoote hayo umekumbana nayo wewe? Pole sana jamiif, akikua ataacha.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom