Hii ni Suprize! au Nadanganywa tu?

Tena ukae mbali nae sana...mimi kuna mdada tuliwahi kuwa wapenzi miaka mingi imepita sasa kachumbiwa na mwakani anaolewa. Juzi kanipigia simu eti anataka mtoto ila apewe mimba na mimi...nilimwambia aombe ruksa kwa mumewe kwanza...
 
Hilo cahnga la macho! ILA DNA SI IPO? Mwambie hununui mbuzi kwenye gunia, mtoto akizaliwa akipimwa vinasaba ndo utatoa tamko!

Mimi nikifikiria haya appettite ya ndoa kwishney! MIEZI 3 TU kashaanza kukitombesha nje!!!!!!!!!!!!!!????????? Like SERIOUSLY!?

hakika hujanielewa
 
Huo uaminifu umeenda wapi jamani? Miezi 3 tayari, uliyembebesha mkoba ushamwona hakufai, unaukumbuka mbachao! Makubwa!
Kichaa ni wewe, unatoka wapi na mke wa mtu? Humu humu jf, juzi tuu walituonesha libaba zima linatembezwa uchi wa chui. Bila hata madoa doa. Kisa, kafumaniwa, alafu ati unamwambia amwambie huyo buda wake kuwa ujauzito huu si wako ni wa ma exbf. Mbona majanga? Mtwae kwanza aje kujificha huko kwako halafu ampigie simu. Unataka tusikie kitu kimenuka humu jf? Acha kumdanganya mke wa mtu.
Mwambie avumilie kidogo, siku 90 si nyingi, atotoe halafu amruhusu mwenye mali aoteshe cha kwake, avilinganishe nyuso na vidole gumba. Hiyo ni DNA ya kiasili, kama ni vifaranga vya mtu mmoja vidole gumba vitafanana
 
Huo uaminifu umeenda wapi jamani? Miezi 3 tayari, uliyembebesha mkoba ushamwona hakufai, unaukumbuka mbachao! Makubwa!
Kichaa ni wewe, unatoka wapi na mke wa mtu? Humu humu jf, juzi tuu walituonesha libaba zima linatembezwa uchi wa chui. Bila hata madoa doa. Kisa, kafumaniwa, alafu ati unamwambia amwambie huyo buda wake kuwa ujauzito huu si wako ni wa ma exbf. Mbona majanga? Mtwae kwanza aje kujificha huko kwako halafu ampigie simu. Unataka tusikie kitu kimenuka humu jf? Acha kumdanganya mke wa mtu.
Mwambie avumilie kidogo, siku 90 si nyingi, atotoe halafu amruhusu mwenye mali aoteshe cha kwake, avilinganishe nyuso na vidole gumba. Hiyo ni DNA ya kiasili, kama ni vifaranga vya mtu mmoja vidole gumba vitafanana

hapa nawaza sana. jumapili wakati namzungumzia hapa nilisema sitaoa tena, but hili la ujauzito linanishawishi its like i want her to come back
 
hapa nawaza sana. jumapili wakati namzungumzia hapa nilisema sitaoa tena, but hili la ujauzito linanishawishi its like i want her to come back

Pole Tembosa;
Sasa nauona mwisho wako kiukwelii. Usisahau kuwaagizia ndugu zako mikoba yako ilipo kwani kifo tayari kipo hapo mlangoni.
Kaka, mke wa mtu, ni sumu. Mwone kama pale Central Police. Huwezi mtu na akuli zako kwenda kuomba kibali cha kuuzia bangi pale.
Ulimtema au alikutema, basi. Wewe si wa kujaribiwa na kuachwa na kurudiwa. Mbona Ma miss wapo wengi tu? Tangu aondoke hujapata mwingine? Je naye akijakuambia tayari utakuwa na wangapi? Alitarajia mengi akakuta patupu sasa anataka arudi kwa gea ya mtoto. Ni ushauri tuu
 
nachofikiria hapa ni kumwambia aweke mambo wazi kwa mumewe

je ikigundulika kama ni ya kwako kweli na akiachwa na mume wake upo tayari kumuoa? maana akimwambia mumewe unategemea nini kama si kuvunja ndoa na pengine kutokea kwa maafa. hebu acha kuwasiliana na mke wa mwanaume mwezio bwana. inaonekana unamu intertain wewe.
 
wana mmu hope mmekuwa na siku njema!

Thanks to god hata mimi niko vizuri.
Kuna kitu kimenishtua sana leo jioni. Na hapa bado nina mawazo kibao, kama hii ni suprize ama nadanganywa tu, ni hivi nilikuwa na girlfriend wangu tuliodumu takribani 4years in relationship. Tumeachana kama miezi 5 hivi iliyopita na yeye aliolewa miezi 3 tu! Baada ya kutengana na mimi, so inawezekana alikuwa na mipango ya siri hata kipindi mi nikiwa nae. Huyo mpenzi wangu alivyoolewa nilimpiga stop kabisa kuwasiliana na mimi, but tokea jumapili iliyopita anajitahidi sana kuwasiliana na mimi ananiandikia msg kibao na kupanga outings ambazo huwa nazireject. Leo kuna kitu kimenishangaza, nimepigiwa simu na huyo mpenzi wangu ananiambia ni mjamzito na ujauzito wake una miezi 6, na mimi ndiye baba wa hiyo mimba! I got shocked. Ikabidi nimpigie simu aniambie vizuri, kanieleza mimba ni yangu, ila ilibidi adanganye ili aolewe!

Hi kitu inanitatanisha sijui nifanye action gani hapa,
nimemwambia amwambie kwanza mumewe ukwel ndiyo mimi nimwamini.
unadanganywa.
 
huyu aliingia kwenye ndoa hakuwa tayari alichokitegemea ajakikuta humo kakumbuka kale anataka kurudi.... just mblock huyo binti kama kweli ameolewa .... mwache na ndoa yake kama jamaaa atalea huyo mtoto ni pouwa tu la sivyo tindikali inahusika au mguu wa kuku .....
 
Hivi we kijana hujui namna ya kuhesabu siku za mzunguko wa hedhi kwa mwanamke?

Hebu kaa chini weka vizuri mahesabu yako sawa, wewe ndio unajua ni lini mara ya mwisho mlifunuana chupi...

Ndio mkome kuchomekana chomekana hovyo kabla hamjaoa, sisi wazazi wenu tukiwaonya mnaanza kutuita "madingi wanoko"...alaaah!!
 
Hivi we kijana hujui namna ya kuhesabu siku za mzunguko wa hedhi kwa mwanamke?

Hebu kaa chini weka vizuri mahesabu yako sawa, wewe ndio unajua ni lini mara ya mwisho mlifunuana chupi...

Ndio mkome kuchomekana chomekana hovyo kabla hamjaoa, sisi wazazi wenu tukiwaonya mnaanza kutuita "madingi wanoko"...alaaah!!

Hahaha dingiiii mnoko! WoRD...tahadhar kabla ya hatarii bibie anataka umuhudumie kimwili zaidi hana lolote..cha mtu ukiona kiogope!kaa mbal naye aisee hzo ni fix
 
Muulize kabila la mumewe ni la kwa kina munisi-mushi....??
Kama ndivyo basi unatafuta balaa mkuu...
 
Hapa mimi ngoja nijipitie tuu. Ushahidi wa mtu kutolewa manundu siutaki...mimi huyooooooooo
 
je ikigundulika kama ni ya kwako kweli na akiachwa na mume wake upo tayari kumuoa? maana akimwambia mumewe unategemea nini kama si kuvunja ndoa na pengine kutokea kwa maafa. hebu acha kuwasiliana na mke wa mwanaume mwezio bwana. inaonekana unamu intertain wewe.

Hapana kabisa tokea aolewe mi sijawahi kumwintertain hata siku moja
 
Back
Top Bottom