Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
Tena ukae mbali nae sana...mimi kuna mdada tuliwahi kuwa wapenzi miaka mingi imepita sasa kachumbiwa na mwakani anaolewa. Juzi kanipigia simu eti anataka mtoto ila apewe mimba na mimi...nilimwambia aombe ruksa kwa mumewe kwanza...