Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,891
- 4,790
- Thread starter
- #61
Kuna uwezekano mkubwa hiyo mimba isiwe inakuhusu kwa sababu kama aliolewa chap chap ina maana alikuwa na mtu na walikuwa wanagegedana kama kawaida
wala sikupe mawazo solution apo ni DNA tu baas. Kama ikiwa ni mtoto wako kibayolojia, kumbuka maadam atazaliwa ndani ya ndoa nyingine bado hatakuwa wa kwako kijamii........unless aachike kwa mumewe awe huru na wewe uamue kuoa.
Kifupi, sahau habari ya mtoto hata kama ni wa kwako kibayolojia
Najua nina wakati mgumu sana. but i have to do something