Hii ni stori ya maisha yangu. Nini ushauri wako kwangu?

mkuu kwenye maelezo yangu hayo nilivyoelezea ni mapito yangu ili kufikia lengo lakini nimeona mengi nimeyafanya ambayo si kipawa hivyo inapotokea changamoto navumilia kwa kadri na kama hakuna matokeo chanya naachana hiyo naanza kingine ,kwa imani yangu na kwa kuwa tayari nilijaribu kwa muda wa miaka 2 ufundi badhii ya mapungufu niliyoyaona na changamoto nilizo ziona basi ilinilazimu niweze kutafuta education ya hiyo kitu na ndo naenda miezi hii kupiga shoti course ya phone repair si hvyo tu pia excess cash ambayo itaniwezesha kufanya uwekezaji mzuri kabisa kwa kununua materials yate yatayohitajika napo anza lakini huku kwa kazi yangu wakati huu nimeiboresha hvyo kwa sasa hainitegemei mimi kuwepo kazini ndo iende kiasi flani nina uhuru wa muda wangu,hivyo naweza kulifanya kwa awamu nyingine tena hilo jambo.
 
Kitu kibaya katika maisha ya mwanadamu ni kutokujua na kutotambua anachokitaka.
Sababu ataishia kuhangaika huku na huku pia kuendeshwa na mitazamo na mawazo ya watu milele bila ya mafanikio.

Mtu asiyejua anachokitaka na kukitafuta ni kama kipofu aliyepotea njia ila anaendelea kwenda tu.
Na siku huyo kipofu anakuja kushtuka atajikuta yupo mwisho wa reli lakini hajui wapi alipo.

You see mkuu, maana ya mafanikio zinatofautiana kati ya mtu na mtu.
Kwa maana hiyo basi ni wazi na bila shaka njia za mafanikio lazima zitofautiane kati ya mtu na mtu.

Sasa kama wewe unaona fulani amefanikiwa kwa kilimo, afya, ufundi alafu na wewe unafanya hicho'hicho ili ufanikiwe basi ni lazima utakuwa hujui unachokitaka na kukitafuta maishani mwako.

Na hapo ndipo tatizo lako lilipo mleta mada.

Kila mtu ana maana yake ya mafanikio lakini njia ya kila mtu kufika huko anapopataka ni moja tu.
Mafanikio ni matokeo ya hardwork, juhudi binafsi, kujielewa, kujitambua na kujiamini pia kuwa na mipango mikakati , clear plans and goals.
Kuwa na Short term plans/goals na Long term plans/goals.

Ili upate mafanikio ni lazima uwe unajua unachokitaka na kukitafuta then uwekeze nguvu zako zote hapo no matter what happens wewe utaendelea kuweka nguvu, focus, maximum efforts mpaka kieleweke au mpaka unakufa hakuna kuquit until you drop dead.

Na kitu cha muhimu katika kujua unachokitaka maishani na kufocus kwenye jambo moja na kulipigania ni kwamba utakuwa na uzoefu nalo wa kutosha hivyo utajifunza mengi na kujua insides and outs kiasi kwamba hata ukidondoka automatically utajua jinsi ya kusimama bila kupoteza muda.
Kuliko kuranda'randa huku na huku then unatoka empty.

Pia mkuu nimenotice kitu kimoja kutoka kwako hivyo nakupa ushauri wa mwisho huu hapa!

Na msingi wa yote katika niliyoyaandika hapo ni kutambua kwamba katika maisha hakuna kitu rahisi.
na kama vipo vitu rahisi basi jua vimegharamiwa na kuhangaikiwa kwa jasho hivyo gharama yake ni kubwa na siku zote mwisho wake ni mbaya.
 
Wanajamvi naomba nipate ushauri wenu kwa hili.

Kwa sasa nipo kweye 35 kasoro sikni nimepata ujuzi katika fani kama tatu hivi hapa namanisha elimu ya diploma ya utawala biashara lengo kuu tangu awali niwe mjasiriamali lakini baada ya masomo nikajiegesha kwenye kampuni fulani ya ulinzi ili nipate mtaji karibia miaka mitatu nikaona mwishowe nitalowea humo nikajichomoa kajisenti nilikokapata nikavutiwa na kilimo cha kitunguuumuma, Kilosa, Morogoro.

Nikaenda ili nikalime lakini nilichelewa eneo la kulima maana wanakodi kabla ya msimu wa kulima hivyo nikabakia pale kama miezi miwili kama kibarua lengo nipate elimu na ujuzi jinsi ya kusia mbegu kupanda pia uzalishaji wa mbegu hilo nikalifanikisha.

Baada ya hapo nikachukua jukumu la kusafiri hadi mikoa ya magharib kulima hicho kilimo, nilikodi heka mbili na kununua mashine aina ya jd ya kumwagilia maji,nikatafuta vijana watatu tukaanza kazi hatukupata changamoto nyingi wakati wa uendeshaji basi baada ya msimu da!! tulikuja kuambulia debe tatu tu za vitunguu.

Basi sikukata tamaa niliuza mashine yangu nikawalipa vijana nusu ya makubaliano yetu kilichobaki nikaanza kilimo cha nyanya miche elf 5 nikakomaa mwenyewe baada ya msimu pamoja na changamoto lukuki nikaambulia tenga saba tu.

Nilipoziuza nikapata 100k nikaingia kwenye kilimo cha mahindi ya kiangazi nusu heka nikakomaa nayo hadi nakaribia kuivisha mvua za maska zikaanza eneo lilikuwa bondeni, maji yakaingia mashina yakaanza kuoza hatimae nikakosa kabisa, mpaka kufikia hapo ikanilazimu niombe nitumiwe nauli nirudi kwetu lakini ndugu waliona si busara nikakae nyumbani hivyo wakanitaka mawazo yangu nikawambia nataka nikasome afya

Basi wakaniambia nitafute chuo nikafanya hivyo baada ya wiki nikatumiwa nauli ada wakasema naweza nisiende chuo hivyo wakamtumia mpwa wangu ambaye alikuwepo eneo hilo anasoma chuo pia yeye ndo akanilipie kwani mimi siaminik tena, na kwa kuwa hata simu yangu niliyoendanayo huko enzi hizo LG ya kama 400 hivi nilishiwa nikaiuza 56 elfu na laini nikaweka kwa jirani wa kike hivyo waliamini huko nimeoa tayarini

Nilitumiwa 250 ya maandalizi yangu basi nikasema kabla sjaenda ngoja 200 ninunue miwa jaruba moja la miwa niikate kwa pamoja na kukodi trekta nikapeleka munadani kwa mategemeo ya kupata faida mara mbili lakini baada ya siku ya pili kumaliza mauzo nilikata 60 hatimae nikasaliwa 190 nikaona hilo litanighalimu hata nauli nitaishiwa tena basi nikaianza safari na kuanza masomo baada ya muda wangu wa kozi ndo kikafika kipindi cha JPM hakuna ajira,niliamua kujiajiri kwenye field hiyo.

Nilipata kamtaji nikaanza maabara yangu sehemu baada ya muda miaka kama miwili nilianza kupata jina sehemu hiyo nilishangaa kupata ugonjwa wa ajabu kuna kitu kilikalia kwenye koo nilijalibu kutafuta ufumbuzi hospitals nyingi skufanikiwa nilijaribu kuangalia upande wa tiba jadi baasi nikapata ufumbuzi nao walidai ni matatizo ya kutoka upinzani wa kibiashara basi kwa jinsi nilivyotaabika na hilo gonjwa niliacha kutoa huduma za tiba kwa haraka haraka nikafikiria je nitasavive vp kwenye haya mazingira basi likaja wazo kuwa nikiwa dalasa la 3 huko nyuma nilikuwa najifunza ufundi radio hivyo nilipenda sana kujifunza kwa fundi maarufu katika eneo nilipokuwepo mpaka ikatishia kusitisha masomo ili niwe nashinda kujinikaij

Nikaijiwa na wazo kwanini nisijaribu kufanya nikaan, nikaanza ndani ya wiki mbili nikaanza kupata wateja na wengi wakiwa wa simu nikashangaa naimudu kwa haraka zaidi hasa simu nikajikuta nakuwa fundi wa simu na radio, nilianza kupata mafanikio kidogo tofauti na kazi ya awali basi kwa wengi eneo nililokuwepo walipenda kunishauri kwann nisirudi kutibu kuliko kuwa fundi simu radio ila skutaka kabisa kurudi huko.

Nikalazimika kujifunza tiba mbadala ili niweze kutibu kwa kutumia miti shamba ambapo baada ya mafunzo ya waganga zaidi ya tisa wa magonjwa mbali mbali dhumuni ilikuwa baada ya kuzijua dawa za miti shamba niandike vitabu na kusambaza vya tiba mbadala basi nilianza kusaga miti yote niliyoelekezwa kwa kila gonjwa nikapaki katika package zangu, nikafuatilia cheti kutoka baraza la tiba mbadala na kupata, nilianza kuzungusha dawa nyumba kwa nyumba mkoa mzima nilipo na pia mikoa ya jirani hata nilidhubutu kuingia nchi jirani ya drc kwa ajiri ya hayo.

Kwa kila pakage niliweka mawasiliano hivyo wengi walihitaji niwapelekee mwendelezo wa dawa basi baada ya zoezi la kuzunguka,niliugua hata mwili ukashindwa kufanya lolote yaani nikiongea dakika tatu hadi nipumzike kwanza kwa muda kutembea nikawa natingishika hata kusimama hadi supot ya kushika kbas.

Basi baada ya vipimo bugando nikambiwa nimepiga kazi over work,hivyo nikapewa dawa sasa naanza mwaka wa tatu natumia daily mwili upo sawa japo bado kidogo sana ambapo hapaonyeshi inability yoyote hata tatizo limebakia kwenye feeling. kutokana na jinsi nilivyosumbuliwa na hali ya afya nililazimika kurudi kwenye huduma ya kutibu na sasa naendelea kazi yangu ila ni kazi ambayo nafanya lakini nahisi haitanifanya niwe navyotaka japo 20k per day ndo kipato changu,lakini naona hakuna mabadiko kama ambapo niliyoyapata kwenye fundi radio simu kwa kuwa sasa kuna chuo kinatoa ufundi simu nina mpango mwezi ujao nikajiuswa.

Swali langu: je, huo ufundi unaweza kuwa ndo kipaji changu kwa wale wajuvi wa mambo ya vipaji au maana mimi kwa sasa napenda niishi kwa maisha ya kipaji ila sjaujua nini kipaji changu
Jaribu na kifuga kuku nasikia Kuna utajiri huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida moja ya wewe unajikita kutafuta hela na sio kutafuta fani.

Kuna mwenzako mmoja alihitimu chuo kikuu akawa anajichanganya kwenye vibarua vya seremala yumo, Plumbing yumo, umeme yumo , ujenzi yumo , kuweka mageti yumo mwisho kajakujikuta hakuna anachokijua kwasababu alijikita kutafuta hela tu na sio kujua fani.

Kuja kustuka umri umeenda ajira hazitoki.

Tukamshauri ashike fani moja anayoimudu, akachagua kujikita kwenye mabomba, kwasasa ni Fundi mzuri tu.

Na wewe shika moja unaloliweza.
Hiyo chai TZ hakuna Bachelor ya Plambing, Electrical, Ujenzi ni kwa pamoja hii ni chai mbichi ambayo haina majani wala iliki au tangawizi
 
Wanajamvi naomba nipate ushauri wenu kwa hili.

Kwa sasa nipo kweye 35 kasoro sikni nimepata ujuzi katika fani kama tatu hivi hapa namanisha elimu ya diploma ya utawala biashara lengo kuu tangu awali niwe mjasiriamali lakini baada ya masomo nikajiegesha kwenye kampuni fulani ya ulinzi ili nipate mtaji karibia miaka mitatu nikaona mwishowe nitalowea humo nikajichomoa kajisenti nilikokapata nikavutiwa na kilimo cha kitunguuumuma, Kilosa, Morogoro.

Nikaenda ili nikalime lakini nilichelewa eneo la kulima maana wanakodi kabla ya msimu wa kulima hivyo nikabakia pale kama miezi miwili kama kibarua lengo nipate elimu na ujuzi jinsi ya kusia mbegu kupanda pia uzalishaji wa mbegu hilo nikalifanikisha.

Baada ya hapo nikachukua jukumu la kusafiri hadi mikoa ya magharib kulima hicho kilimo, nilikodi heka mbili na kununua mashine aina ya jd ya kumwagilia maji,nikatafuta vijana watatu tukaanza kazi hatukupata changamoto nyingi wakati wa uendeshaji basi baada ya msimu da!! tulikuja kuambulia debe tatu tu za vitunguu.

Basi sikukata tamaa niliuza mashine yangu nikawalipa vijana nusu ya makubaliano yetu kilichobaki nikaanza kilimo cha nyanya miche elf 5 nikakomaa mwenyewe baada ya msimu pamoja na changamoto lukuki nikaambulia tenga saba tu.

Nilipoziuza nikapata 100k nikaingia kwenye kilimo cha mahindi ya kiangazi nusu heka nikakomaa nayo hadi nakaribia kuivisha mvua za maska zikaanza eneo lilikuwa bondeni, maji yakaingia mashina yakaanza kuoza hatimae nikakosa kabisa, mpaka kufikia hapo ikanilazimu niombe nitumiwe nauli nirudi kwetu lakini ndugu waliona si busara nikakae nyumbani hivyo wakanitaka mawazo yangu nikawambia nataka nikasome afya

Basi wakaniambia nitafute chuo nikafanya hivyo baada ya wiki nikatumiwa nauli ada wakasema naweza nisiende chuo hivyo wakamtumia mpwa wangu ambaye alikuwepo eneo hilo anasoma chuo pia yeye ndo akanilipie kwani mimi siaminik tena, na kwa kuwa hata simu yangu niliyoendanayo huko enzi hizo LG ya kama 400 hivi nilishiwa nikaiuza 56 elfu na laini nikaweka kwa jirani wa kike hivyo waliamini huko nimeoa tayarini

Nilitumiwa 250 ya maandalizi yangu basi nikasema kabla sjaenda ngoja 200 ninunue miwa jaruba moja la miwa niikate kwa pamoja na kukodi trekta nikapeleka munadani kwa mategemeo ya kupata faida mara mbili lakini baada ya siku ya pili kumaliza mauzo nilikata 60 hatimae nikasaliwa 190 nikaona hilo litanighalimu hata nauli nitaishiwa tena basi nikaianza safari na kuanza masomo baada ya muda wangu wa kozi ndo kikafika kipindi cha JPM hakuna ajira,niliamua kujiajiri kwenye field hiyo.

Nilipata kamtaji nikaanza maabara yangu sehemu baada ya muda miaka kama miwili nilianza kupata jina sehemu hiyo nilishangaa kupata ugonjwa wa ajabu kuna kitu kilikalia kwenye koo nilijalibu kutafuta ufumbuzi hospitals nyingi skufanikiwa nilijaribu kuangalia upande wa tiba jadi baasi nikapata ufumbuzi nao walidai ni matatizo ya kutoka upinzani wa kibiashara basi kwa jinsi nilivyotaabika na hilo gonjwa niliacha kutoa huduma za tiba kwa haraka haraka nikafikiria je nitasavive vp kwenye haya mazingira basi likaja wazo kuwa nikiwa dalasa la 3 huko nyuma nilikuwa najifunza ufundi radio hivyo nilipenda sana kujifunza kwa fundi maarufu katika eneo nilipokuwepo mpaka ikatishia kusitisha masomo ili niwe nashinda kujinikaij

Nikaijiwa na wazo kwanini nisijaribu kufanya nikaan, nikaanza ndani ya wiki mbili nikaanza kupata wateja na wengi wakiwa wa simu nikashangaa naimudu kwa haraka zaidi hasa simu nikajikuta nakuwa fundi wa simu na radio, nilianza kupata mafanikio kidogo tofauti na kazi ya awali basi kwa wengi eneo nililokuwepo walipenda kunishauri kwann nisirudi kutibu kuliko kuwa fundi simu radio ila skutaka kabisa kurudi huko.

Nikalazimika kujifunza tiba mbadala ili niweze kutibu kwa kutumia miti shamba ambapo baada ya mafunzo ya waganga zaidi ya tisa wa magonjwa mbali mbali dhumuni ilikuwa baada ya kuzijua dawa za miti shamba niandike vitabu na kusambaza vya tiba mbadala basi nilianza kusaga miti yote niliyoelekezwa kwa kila gonjwa nikapaki katika package zangu, nikafuatilia cheti kutoka baraza la tiba mbadala na kupata, nilianza kuzungusha dawa nyumba kwa nyumba mkoa mzima nilipo na pia mikoa ya jirani hata nilidhubutu kuingia nchi jirani ya drc kwa ajiri ya hayo.

Kwa kila pakage niliweka mawasiliano hivyo wengi walihitaji niwapelekee mwendelezo wa dawa basi baada ya zoezi la kuzunguka,niliugua hata mwili ukashindwa kufanya lolote yaani nikiongea dakika tatu hadi nipumzike kwanza kwa muda kutembea nikawa natingishika hata kusimama hadi supot ya kushika kbas.

Basi baada ya vipimo bugando nikambiwa nimepiga kazi over work,hivyo nikapewa dawa sasa naanza mwaka wa tatu natumia daily mwili upo sawa japo bado kidogo sana ambapo hapaonyeshi inability yoyote hata tatizo limebakia kwenye feeling. kutokana na jinsi nilivyosumbuliwa na hali ya afya nililazimika kurudi kwenye huduma ya kutibu na sasa naendelea kazi yangu ila ni kazi ambayo nafanya lakini nahisi haitanifanya niwe navyotaka japo 20k per day ndo kipato changu,lakini naona hakuna mabadiko kama ambapo niliyoyapata kwenye fundi radio simu kwa kuwa sasa kuna chuo kinatoa ufundi simu nina mpango mwezi ujao nikajiuswa.

Swali langu: je, huo ufundi unaweza kuwa ndo kipaji changu kwa wale wajuvi wa mambo ya vipaji au maana mimi kwa sasa napenda niishi kwa maisha ya kipaji ila sjaujua nini kipaji changu
Wacha nikushauri mkuu mi naona katika hayo yote uliyoyafanya hakuna linalokufaa ila unayaweza yote, wewe inaonekana ujaumbwa kufanya kazi , wewe umeumbwa kusimamia kazi ndomana unapenda kugusa kila jambo, sasa cha kufanya fanya yote ila anza na kimoja kimoja, mfano hapo unafanya labs then unafunga ofisi ya ufundi unamweka kijana anamfanyia management unahakikisha anapita kwenye njia yako, ila huyo kijana usimfanye umemwajili bali afanye awe ni partner wako jipe muda kidogo hapo pakiweza kijiendesha, achana napo weka partner mwingine hapo labs kisha achana napo tafuta project nyingine tena, wewe ni manager tu take it from me, managers wengi wanacharacter km zako, unamkuta anacertificate kibao na anapenda kujifunza kila siku na kujaribu jambo jipya..
 
mkuu hivi wewe binafsi unajua unahitaji nini kwenye maisha yako ?

embu check,
kilimo cha kitunguu wewe
kilimo cha nyanya wewe
kilimo cha miwa wewe
maabara wewe
kuuza dawa za hasili (mitishamba) wewe
fundi redio na simu ni wewe mwenyewe

na hapo movie haijaisha ujue! ningependa kujua utafanya vitu gani vingine baada ya miaka kama mitano hivi

Kila kitu yeye....halafu anakata tamaa mapema
 
Shida moja ya wewe unajikita kutafuta hela na sio kutafuta fani.

Kuna mwenzako mmoja alihitimu chuo kikuu akawa anajichanganya kwenye vibarua vya seremala yumo, Plumbing yumo, umeme yumo , ujenzi yumo , kuweka mageti yumo mwisho kajakujikuta hakuna anachokijua kwasababu alijikita kutafuta hela tu na sio kujua fani.

Kuja kustuka umri umeenda ajira hazitoki.

Tukamshauri ashike fani moja anayoimudu, akachagua kujikita kwenye mabomba, kwasasa ni Fundi mzuri tu.

Na wewe shika moja unaloliweza.
Ushauri makini huu.
 
Wacha nikushauri mkuu mi naona katika hayo yote uliyoyafanya hakuna linalokufaa ila unayaweza yote, wewe inaonekana ujaumbwa kufanya kazi , wewe umeumbwa kusimamia kazi ndomana unapenda kugusa kila jambo, sasa cha kufanya fanya yote ila anza na kimoja kimoja, mfano hapo unafanya labs then unafunga ofisi ya ufundi unamweka kijana anamfanyia management unahakikisha anapita kwenye njia yako, ila huyo kijana usimfanye umemwajili bali afanye awe ni partner wako jipe muda kidogo hapo pakiweza kijiendesha, achana napo weka partner mwingine hapo labs kisha achana napo tafuta project nyingine tena, wewe ni manager tu take it from me, managers wengi wanacharacter km zako, unamkuta anacertificate kibao na anapenda kujifunza kila siku na kujaribu jambo jipya..
ni sahihi ulichokinena kwa asilimia nearly 100 kwani kwanza tangu nijifunze kozi karibia tatu japo nyingine sjaziweka,hata sku moja sjawahi kutamani kufanya applications ili niweze ajiriwa japo mwanzo niliwahi kujishikiza sehemu kwa ajiri ya kupata captal ,kila sehemu nilipo utanikuta nimeanzisha zaidi ya kitu kimoja kwa mfano eneo nilipo sasa nina pub,hapo nina restaurent hivyo hivyo duka la dawa na medical lab.nimefanya decentralization ya management. pub yupo kijana na bar meds,resta anasimamia mke akiwa wasichana wa kazi na duka la dawa nipo mimi na kijana wa duka la dawa lakini pia lab technician mmoja ambaye amejiegesha hapa karibia 6monthes hivyo ndo nataka awe pamanent .kutokana na ushauri wako kweli mimi najiona kama project planner and manager .
 
Mkuu,kujua vitu vingi ni jambo zuri ila kufanya vitu vingi ni ujinga hasa iwapo haviingiliani au kupeana support.Kwa mfano ukiwa mtaalamu wa maabara halafu ukafahamu kuhusu tiba asilia unaweza kuwa tabibu mzuri.Ukiwa mkulima wa mazao na ukawa pia mnunuaji na muuaji ni jambozuri pia.Ukiwa fundi redio pia nijambo zuri.

Swali ni JE what is your end game?What is your game plan?
 
mkuu hivi wewe binafsi unajua unahitaji nini kwenye maisha yako ?

embu check,
kilimo cha kitunguu wewe
kilimo cha nyanya wewe
kilimo cha miwa wewe
maabara wewe
kuuza dawa za hasili (mitishamba) wewe
fundi redio na simu ni wewe mwenyewe

na hapo movie haijaisha ujue! ningependa kujua utafanya vitu gani vingine baada ya miaka kama mitano hivi
jmn ktk kuhangaika si unajua tena!
 
Wanajamvi naomba nipate ushauri wenu kwa hili.

Kwa sasa nipo kweye 35 kasoro sikni nimepata ujuzi katika fani kama tatu hivi hapa namanisha elimu ya diploma ya utawala biashara lengo kuu tangu awali niwe mjasiriamali lakini baada ya masomo nikajiegesha kwenye kampuni fulani ya ulinzi ili nipate mtaji karibia miaka mitatu nikaona mwishowe nitalowea humo nikajichomoa kajisenti nilikokapata nikavutiwa na kilimo cha kitunguuumuma, Kilosa, Morogoro.

Nikaenda ili nikalime lakini nilichelewa eneo la kulima maana wanakodi kabla ya msimu wa kulima hivyo nikabakia pale kama miezi miwili kama kibarua lengo nipate elimu na ujuzi jinsi ya kusia mbegu kupanda pia uzalishaji wa mbegu hilo nikalifanikisha.

Baada ya hapo nikachukua jukumu la kusafiri hadi mikoa ya magharib kulima hicho kilimo, nilikodi heka mbili na kununua mashine aina ya jd ya kumwagilia maji,nikatafuta vijana watatu tukaanza kazi hatukupata changamoto nyingi wakati wa uendeshaji basi baada ya msimu da!! tulikuja kuambulia debe tatu tu za vitunguu.

Basi sikukata tamaa niliuza mashine yangu nikawalipa vijana nusu ya makubaliano yetu kilichobaki nikaanza kilimo cha nyanya miche elf 5 nikakomaa mwenyewe baada ya msimu pamoja na changamoto lukuki nikaambulia tenga saba tu.

Nilipoziuza nikapata 100k nikaingia kwenye kilimo cha mahindi ya kiangazi nusu heka nikakomaa nayo hadi nakaribia kuivisha mvua za maska zikaanza eneo lilikuwa bondeni, maji yakaingia mashina yakaanza kuoza hatimae nikakosa kabisa, mpaka kufikia hapo ikanilazimu niombe nitumiwe nauli nirudi kwetu lakini ndugu waliona si busara nikakae nyumbani hivyo wakanitaka mawazo yangu nikawambia nataka nikasome afya

Basi wakaniambia nitafute chuo nikafanya hivyo baada ya wiki nikatumiwa nauli ada wakasema naweza nisiende chuo hivyo wakamtumia mpwa wangu ambaye alikuwepo eneo hilo anasoma chuo pia yeye ndo akanilipie kwani mimi siaminik tena, na kwa kuwa hata simu yangu niliyoendanayo huko enzi hizo LG ya kama 400 hivi nilishiwa nikaiuza 56 elfu na laini nikaweka kwa jirani wa kike hivyo waliamini huko nimeoa tayarini

Nilitumiwa 250 ya maandalizi yangu basi nikasema kabla sjaenda ngoja 200 ninunue miwa jaruba moja la miwa niikate kwa pamoja na kukodi trekta nikapeleka munadani kwa mategemeo ya kupata faida mara mbili lakini baada ya siku ya pili kumaliza mauzo nilikata 60 hatimae nikasaliwa 190 nikaona hilo litanighalimu hata nauli nitaishiwa tena basi nikaianza safari na kuanza masomo baada ya muda wangu wa kozi ndo kikafika kipindi cha JPM hakuna ajira,niliamua kujiajiri kwenye field hiyo.

Nilipata kamtaji nikaanza maabara yangu sehemu baada ya muda miaka kama miwili nilianza kupata jina sehemu hiyo nilishangaa kupata ugonjwa wa ajabu kuna kitu kilikalia kwenye koo nilijalibu kutafuta ufumbuzi hospitals nyingi skufanikiwa nilijaribu kuangalia upande wa tiba jadi baasi nikapata ufumbuzi nao walidai ni matatizo ya kutoka upinzani wa kibiashara basi kwa jinsi nilivyotaabika na hilo gonjwa niliacha kutoa huduma za tiba kwa haraka haraka nikafikiria je nitasavive vp kwenye haya mazingira basi likaja wazo kuwa nikiwa dalasa la 3 huko nyuma nilikuwa najifunza ufundi radio hivyo nilipenda sana kujifunza kwa fundi maarufu katika eneo nilipokuwepo mpaka ikatishia kusitisha masomo ili niwe nashinda kujinikaij

Nikaijiwa na wazo kwanini nisijaribu kufanya nikaan, nikaanza ndani ya wiki mbili nikaanza kupata wateja na wengi wakiwa wa simu nikashangaa naimudu kwa haraka zaidi hasa simu nikajikuta nakuwa fundi wa simu na radio, nilianza kupata mafanikio kidogo tofauti na kazi ya awali basi kwa wengi eneo nililokuwepo walipenda kunishauri kwann nisirudi kutibu kuliko kuwa fundi simu radio ila skutaka kabisa kurudi huko.

Nikalazimika kujifunza tiba mbadala ili niweze kutibu kwa kutumia miti shamba ambapo baada ya mafunzo ya waganga zaidi ya tisa wa magonjwa mbali mbali dhumuni ilikuwa baada ya kuzijua dawa za miti shamba niandike vitabu na kusambaza vya tiba mbadala basi nilianza kusaga miti yote niliyoelekezwa kwa kila gonjwa nikapaki katika package zangu, nikafuatilia cheti kutoka baraza la tiba mbadala na kupata, nilianza kuzungusha dawa nyumba kwa nyumba mkoa mzima nilipo na pia mikoa ya jirani hata nilidhubutu kuingia nchi jirani ya drc kwa ajiri ya hayo.

Kwa kila pakage niliweka mawasiliano hivyo wengi walihitaji niwapelekee mwendelezo wa dawa basi baada ya zoezi la kuzunguka,niliugua hata mwili ukashindwa kufanya lolote yaani nikiongea dakika tatu hadi nipumzike kwanza kwa muda kutembea nikawa natingishika hata kusimama hadi supot ya kushika kbas.

Basi baada ya vipimo bugando nikambiwa nimepiga kazi over work,hivyo nikapewa dawa sasa naanza mwaka wa tatu natumia daily mwili upo sawa japo bado kidogo sana ambapo hapaonyeshi inability yoyote hata tatizo limebakia kwenye feeling. kutokana na jinsi nilivyosumbuliwa na hali ya afya nililazimika kurudi kwenye huduma ya kutibu na sasa naendelea kazi yangu ila ni kazi ambayo nafanya lakini nahisi haitanifanya niwe navyotaka japo 20k per day ndo kipato changu,lakini naona hakuna mabadiko kama ambapo niliyoyapata kwenye fundi radio simu kwa kuwa sasa kuna chuo kinatoa ufundi simu nina mpango mwezi ujao nikajiuswa.

Swali langu: je, huo ufundi unaweza kuwa ndo kipaji changu kwa wale wajuvi wa mambo ya vipaji au maana mimi kwa sasa napenda niishi kwa maisha ya kipaji ila sjaujua nini kipaji changu
Fanya ufanyavyo,chagua kimoja unachokisikia ndani!
Lkn ili ufanikishe bila Mungu (Yesu)utaishia kuhangaika,muweke Mungu kwanza ,omba ulinzi wake sio kwenda kwa watu wa Tiba asili huko labda wasiwe waganga!

Sababu nimesoma btw the lines naona km kila unapoanza kufanikiwa unaugua,kuumwa kupata tatizo!
Haijakaa sawa hii! Ss km umewekewa mipaka ya kutofanikiwa hata ufanye unachokipenda lzm utaishia kuhangaika ,mtafute Mungu bro!

Haya mambo yapo.
 
Kiufupi umerogwa haujielewi
Kabisa,hayuko sawa.
Yaani hii ngoma ikienda kwenye deliverance utashangaa!

Huyu kawekewa mipaka hakuna kutoboa,ndo maana anahangaika akitaka kutoboa anaumwa,ulimwengu wa roho wa ajabu sn,uko makini kuhakikisha unasimamia kilichonenwa ili kitimie!
 
Ni vizuri kujua vitu vingi lakin ni vizur zaidi kujua vichache kwa undani mkuu.
Hapo ushafanya mambo mengi mno na hayajatiki kama ulivyotarajia.
Na mengi kama sio yote umeafanya kwa muda mchache tu, kila kilimo umetumia msimu mmoja tu.

Nahisi wewe ni moja ya wale watu ambao wakisikia kitu hiki kinalipa basi wanaenda kukifanya bila tafiti za kujiridhisha.

Mi nakushauri ustick hapo kwenye afya au ufundi simu. Hiyo donoa donoa haisaidii
Nimesoma andiko lako la hii makala kiukweli unajitahidi sana kupambania future yako ya maisha lakini unachoambulia ni kiduchu sana,nataka nikuambie hasa niende kwenye mambo ya kiroho yaani ulimwengu wa roho,kuna nguvu kubwa inapambana na ww usifanikiwe na hata ukifanikiwa ni kiduchu mno, hiyo nguvu ipo kwenye ulimwengu wa roho ambao umegawanyika nuru na giza ,ww nguvu hio ni giza inapambana usiende kwenye nuru ambayo ni mafanikio ya mwanadamu ndo yalipo ,maana ya ulimwengu wa roho ni ulimwengu ambao kila jambo linafanyika pasipo kuonekana,mimi ushauri tafuta haya makanisa binafsi mfano mwamposa ,mwingira,mzee wa upako,nakwambia utakuja nishukuru kwa ushauri wangu
 
Angalia kipi unakipenda na kina maslahi jifue kisha ingia mazima, upambane. Ukiwa mbobevu wa kile unachokifanya kitakutoa tu haijalishi ni kitu gani.

Suala la afya nadhani ni kufanya vipimo zaidi kujua tatizo lipo wapi.
 
Nimesoma andiko lako la hii makala kiukweli unajitahidi sana kupambania future yako ya maisha lakini unachoambulia ni kiduchu sana,nataka nikuambie hasa niende kwenye mambo ya kiroho yaani ulimwengu wa roho,kuna nguvu kubwa inapambana na ww usifanikiwe na hata ukifanikiwa ni kiduchu mno, hiyo nguvu ipo kwenye ulimwengu wa roho ambao umegawanyika nuru na giza ,ww nguvu hio ni giza inapambana usiende kwenye nuru ambayo ni mafanikio ya mwanadamu ndo yalipo ,maana ya ulimwengu wa roho ni ulimwengu ambao kila jambo linafanyika pasipo kuonekana,mimi ushauri tafuta haya makanisa binafsi mfano mwamposa ,mwingira,mzee wa upako,nakwambia utakuja nishukuru kwa ushauri wangu
Umekosea kuquote mkuu, mwenye uzi ni mbuyake sio mimi.
 
Wanajamvi naomba nipate ushauri wenu kwa hili.

Kwa sasa nipo kweye 35 kasoro sikni nimepata ujuzi katika fani kama tatu hivi hapa namanisha elimu ya diploma ya utawala biashara lengo kuu tangu awali niwe mjasiriamali lakini baada ya masomo nikajiegesha kwenye kampuni fulani ya ulinzi ili nipate mtaji karibia miaka mitatu nikaona mwishowe nitalowea humo nikajichomoa kajisenti nilikokapata nikavutiwa na kilimo cha kitunguuumuma, Kilosa, Morogoro.

Nikaenda ili nikalime lakini nilichelewa eneo la kulima maana wanakodi kabla ya msimu wa kulima hivyo nikabakia pale kama miezi miwili kama kibarua lengo nipate elimu na ujuzi jinsi ya kusia mbegu kupanda pia uzalishaji wa mbegu hilo nikalifanikisha.

Baada ya hapo nikachukua jukumu la kusafiri hadi mikoa ya magharib kulima hicho kilimo, nilikodi heka mbili na kununua mashine aina ya jd ya kumwagilia maji,nikatafuta vijana watatu tukaanza kazi hatukupata changamoto nyingi wakati wa uendeshaji basi baada ya msimu da!! tulikuja kuambulia debe tatu tu za vitunguu.

Basi sikukata tamaa niliuza mashine yangu nikawalipa vijana nusu ya makubaliano yetu kilichobaki nikaanza kilimo cha nyanya miche elf 5 nikakomaa mwenyewe baada ya msimu pamoja na changamoto lukuki nikaambulia tenga saba tu.

Nilipoziuza nikapata 100k nikaingia kwenye kilimo cha mahindi ya kiangazi nusu heka nikakomaa nayo hadi nakaribia kuivisha mvua za maska zikaanza eneo lilikuwa bondeni, maji yakaingia mashina yakaanza kuoza hatimae nikakosa kabisa, mpaka kufikia hapo ikanilazimu niombe nitumiwe nauli nirudi kwetu lakini ndugu waliona si busara nikakae nyumbani hivyo wakanitaka mawazo yangu nikawambia nataka nikasome afya

Basi wakaniambia nitafute chuo nikafanya hivyo baada ya wiki nikatumiwa nauli ada wakasema naweza nisiende chuo hivyo wakamtumia mpwa wangu ambaye alikuwepo eneo hilo anasoma chuo pia yeye ndo akanilipie kwani mimi siaminik tena, na kwa kuwa hata simu yangu niliyoendanayo huko enzi hizo LG ya kama 400 hivi nilishiwa nikaiuza 56 elfu na laini nikaweka kwa jirani wa kike hivyo waliamini huko nimeoa tayarini

Nilitumiwa 250 ya maandalizi yangu basi nikasema kabla sjaenda ngoja 200 ninunue miwa jaruba moja la miwa niikate kwa pamoja na kukodi trekta nikapeleka munadani kwa mategemeo ya kupata faida mara mbili lakini baada ya siku ya pili kumaliza mauzo nilikata 60 hatimae nikasaliwa 190 nikaona hilo litanighalimu hata nauli nitaishiwa tena basi nikaianza safari na kuanza masomo baada ya muda wangu wa kozi ndo kikafika kipindi cha JPM hakuna ajira,niliamua kujiajiri kwenye field hiyo.

Nilipata kamtaji nikaanza maabara yangu sehemu baada ya muda miaka kama miwili nilianza kupata jina sehemu hiyo nilishangaa kupata ugonjwa wa ajabu kuna kitu kilikalia kwenye koo nilijalibu kutafuta ufumbuzi hospitals nyingi skufanikiwa nilijaribu kuangalia upande wa tiba jadi baasi nikapata ufumbuzi nao walidai ni matatizo ya kutoka upinzani wa kibiashara basi kwa jinsi nilivyotaabika na hilo gonjwa niliacha kutoa huduma za tiba kwa haraka haraka nikafikiria je nitasavive vp kwenye haya mazingira basi likaja wazo kuwa nikiwa dalasa la 3 huko nyuma nilikuwa najifunza ufundi radio hivyo nilipenda sana kujifunza kwa fundi maarufu katika eneo nilipokuwepo mpaka ikatishia kusitisha masomo ili niwe nashinda kujinikaij

Nikaijiwa na wazo kwanini nisijaribu kufanya nikaan, nikaanza ndani ya wiki mbili nikaanza kupata wateja na wengi wakiwa wa simu nikashangaa naimudu kwa haraka zaidi hasa simu nikajikuta nakuwa fundi wa simu na radio, nilianza kupata mafanikio kidogo tofauti na kazi ya awali basi kwa wengi eneo nililokuwepo walipenda kunishauri kwann nisirudi kutibu kuliko kuwa fundi simu radio ila skutaka kabisa kurudi huko.

Nikalazimika kujifunza tiba mbadala ili niweze kutibu kwa kutumia miti shamba ambapo baada ya mafunzo ya waganga zaidi ya tisa wa magonjwa mbali mbali dhumuni ilikuwa baada ya kuzijua dawa za miti shamba niandike vitabu na kusambaza vya tiba mbadala basi nilianza kusaga miti yote niliyoelekezwa kwa kila gonjwa nikapaki katika package zangu, nikafuatilia cheti kutoka baraza la tiba mbadala na kupata, nilianza kuzungusha dawa nyumba kwa nyumba mkoa mzima nilipo na pia mikoa ya jirani hata nilidhubutu kuingia nchi jirani ya drc kwa ajiri ya hayo.

Kwa kila pakage niliweka mawasiliano hivyo wengi walihitaji niwapelekee mwendelezo wa dawa basi baada ya zoezi la kuzunguka,niliugua hata mwili ukashindwa kufanya lolote yaani nikiongea dakika tatu hadi nipumzike kwanza kwa muda kutembea nikawa natingishika hata kusimama hadi supot ya kushika kbas.

Basi baada ya vipimo bugando nikambiwa nimepiga kazi over work,hivyo nikapewa dawa sasa naanza mwaka wa tatu natumia daily mwili upo sawa japo bado kidogo sana ambapo hapaonyeshi inability yoyote hata tatizo limebakia kwenye feeling. kutokana na jinsi nilivyosumbuliwa na hali ya afya nililazimika kurudi kwenye huduma ya kutibu na sasa naendelea kazi yangu ila ni kazi ambayo nafanya lakini nahisi haitanifanya niwe navyotaka japo 20k per day ndo kipato changu,lakini naona hakuna mabadiko kama ambapo niliyoyapata kwenye fundi radio simu kwa kuwa sasa kuna chuo kinatoa ufundi simu nina mpango mwezi ujao nikajiuswa.

Swali langu: je, huo ufundi unaweza kuwa ndo kipaji changu kwa wale wajuvi wa mambo ya vipaji au maana mimi kwa sasa napenda niishi kwa maisha ya kipaji ila sjaujua nini kipaji changu
Pia mwombe Mungu akusimamie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom