mbuyake
Senior Member
- Feb 20, 2013
- 190
- 236
- Thread starter
- #21
mkuu kwenye maelezo yangu hayo nilivyoelezea ni mapito yangu ili kufikia lengo lakini nimeona mengi nimeyafanya ambayo si kipawa hivyo inapotokea changamoto navumilia kwa kadri na kama hakuna matokeo chanya naachana hiyo naanza kingine ,kwa imani yangu na kwa kuwa tayari nilijaribu kwa muda wa miaka 2 ufundi badhii ya mapungufu niliyoyaona na changamoto nilizo ziona basi ilinilazimu niweze kutafuta education ya hiyo kitu na ndo naenda miezi hii kupiga shoti course ya phone repair si hvyo tu pia excess cash ambayo itaniwezesha kufanya uwekezaji mzuri kabisa kwa kununua materials yate yatayohitajika napo anza lakini huku kwa kazi yangu wakati huu nimeiboresha hvyo kwa sasa hainitegemei mimi kuwepo kazini ndo iende kiasi flani nina uhuru wa muda wangu,hivyo naweza kulifanya kwa awamu nyingine tena hilo jambo.