pole lakini hiyo yte ni tamaa tu ndo iliyokuponza tigo umetoa na je ukikutana na huyo uliyempa unajisikiaje huna aman acha hiyo kazi muombe mungu akusamehe na uanze kutafuta kazi nyingine ili uondoke hapo je una mume ukimwangalia mumeo unajisikiaje achani tamaa ya kutaka vitu vya haraka mwisho wake mbaya
Mtu hushindwa kuacha anapopigwa peku, halafu sio mara moja tu, ili uzoee lazima iwe zaidi ya mara kadhaa afu peku.
maumbile hayo ni tofauti na ya kawaida. Kama jamaa hakutumia kinga mzigo anaouacha hautoki naturally kirahisi. Hii husababisha bacteria ambao huanza kula ule mzigo uloachwa wakiumaliza huanza kula sehemu ya utumbo, hapo mtu hujisikia kuwashwa na kutaka ku-do tena
Hii ni tetesi niloipata kwa mtabibu mmoja
Biashara matangazo.
He, makubwa...............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Biashara matangazo.
Nlikua na observe tu kaka, kanuni za universe zankataza kuingiza kiungo changu cha kutengeneza majiniasi wa kesho huko kwa mav.i. It just doesn't make any sense.M PM akupe mambo ya mtandaoni
Kalaghabaho@Fumbo mfumbie mjinga.comsijui ni kukosa kuaminiana! Mwenzio ana shida analalamika na anajutia alichofanya wewe unampa kauli hizo jamani!
Biashara matangazo ehhhh??
Umeskika bi dada.Watakutafuta for sampling.
usilaumu wanaume-kumbuka huyu cheo ndio kimemcost haya yote-si wanaume,