Hii ni siri inayonitesa!

.....duh,so nazjaz ushafirwa?lol,kweli tamaa mbaya!kwa nini binadamu haturidhiki na nafasi tulizo nazo?mimi sioni sababu yakukupa pole,ulichokitaka umekipata sana sana kinachofuata ni muendelezo wakuliwa nyuma maana siamini kama aliyekupa nafasi hiyo kaishia hapo,utakuwa mtumwa mpk jamaa atakapokuwa hayupo kazini na ukikataa anakutoa katika nafasi hiyo, umetoa utu wako kwa sababu kitu?wat a shame,roho imeniniuma kama nakufahamu!sithani kama wafiraji na wafirwaji wanamsamaha mbele ya mungu na ndio maana aliiteketeza sodoma kwa hili jambo.
 
Mimi ni mfanyakazi mwajiriwa katika shirika moja la umoja wa mataifa.
Nilikuwa naamini kuwa nikiwa line manager nitakuwa na furaha kubwa sana maishani mwangu.

Mungu mkubwa nafasi ya line manager ikatoka, na nikaiomba.
Nilikuwa na sifa zote, ila aliyenifanyia interview ambaye pia ni mwajiri mkuu wa shirika hilo akaniambia sipati nafasi hiyo bila ya kufanya nae maongezi marefu pale Holiday Inn.

Mimi ni mtu mzima, nikajua jamaa anataka kipochi changu, hivyo sikuona sababu yoyote ya kumnyima, nikakubali kwenda kwenye kikao hicho.

Jioni ilipofika akanipigia simu kuwa ameshafika hoteelini, nikaenda. Kikao kilikuwa na maongezi ya kawaida, bia na nyama choma.

Tulikuwa, tulikula na kunywa, maongezi yalinoga, tulicheka na kugonga.

Baada ya muda akaniomba nimfuate, nikakubali na tukaingia chumbani kwake.


Kwenye mengi yaliyotokea, akaniomba tigo, alikuwa na ky jelly na akanithibitishia kuwa sito umiia.

Sikuwahi kabla kufanya upuuzi huo, nilikubali kwa kuwa nilikuwa forced na nafasi ya u line manager.
Nikampa, tundu la limu. Jamaa akapiga simu weee, hadi akamaliza.

Thank God, nikapata hiyo nafasi, lakini kutoa tigo kulinitesa, nikajilaumu na kujiona hayawani niliye toa thamani ya maisha yangu kwa ajilio ya cheo ambacho kesho utakuwa hunacho.

Sikuwa na furaha wala raha na hicho cheo, tigo ilinitesa, yaani nime fi4**irwa, loh!!! Nikajichukia.

Msongo wa mawazo ulinisonga, siri ilinitesa na imenitesa, leo nimeona niiweke hadharani ili nipate kupona.

Usije ukadanganyika kama mimi, usije ukatoa tigo ukadhani utapata furaha maishani, namuomba Mungu anisamehe na kunirejeshea furaha yangu, aniondolee kutojithmini na kujiami. Siri imenitesa


Lahaula Walakwata...!!! :A S 13:.. Dunia imejaa mashaitwani hii.. Kisha ndio wanaoshikilia nyadhifa za juu. Ndio maana David Cameron akaamua kutunyemelea. Ungefanya maarifa tungekuja kumfotoa huyo....
 
Nazjaz...sidhani kama kuna jambo la kukufanya usononeke saaana ki vile. Ulipoitwa kwenda hotelini ulijua kabisa jamaa anaenda kula mzigo....alipokuambia ana ky na anataka nyuma, kwa ridhaa yako MWENYEWE ukabinuka....ukasubiri na kuvumilia/kufurahia mpaka jamaa akabwaga mzigo..! Kinachokufanya uhuzunike ni nini? Jambo la kufanya..endapo umegundua kuwa ilikuwa ni kosa, basi sahau na usirudie usonge mbele. Endapo ule MKUNO uliufurahia na unakutesa, endeleza game. Shida iko wapi bana...!?


Hili liwe fundisho kwa wote wanaotaka maisha ya "short cut" na kutojiamini haswa wasichana walioko vyuoni. Inavyoonyesha wewe Nazjaz huu mchezo wa kuhonga ngono hujaanzia hapo. Pia nina mashaka na hiyo elimu uliyo nayo si ajabu uliipata kwa mtindo huo huo, haiwezekani mtu akuambie nina mazungumzo na wewe, ghafla uanze kutanguliza mawazo ya kungonoana! Mnatia aibu sana nyie.
 
Ooopss..NAZJAZ again...the drama queen. mim nampenda huyu dada kwake vituko havikauki kamwe. kama kisa hiki ni cha kweli na sio cha kutengenezwa. Pole sana kwa yote yaliyokupata japo kwa maelezo yako ni kwamba ulifurahia na kuridhika na kila hatua iliyokufanya kupata cheo ulichokuwa unakitamaaani. UTU na heshima kweshnei
 
kwa hiyo unamshauri nini?
ushauri wangu kwake,inambidi astahamili japo anaumia,kama line kashatoa na watu washapiga mpaka muda wa hewa umekwisha na kama jamaa ataomba tena line itambidi atoe maana asije akakosa kazi,si unajua mjini Tanga maisha yalivyokuwa taiti?Nalog off
 
mnapoteza muda bure kumshauri.mtu aliyefirwa huwa hasemi.husema waliomfira.loud and clear!!!

Taabu ya ushoga wewe waweza kudhani mwajiri alikushurutisha; kumbe una inclination-kaushoga kamo katika hulka zako....una kipaji kilichokuwa dormant...
 
Taabu ya ushoga wewe waweza kudhani mwajiri alikushurutisha; kumbe una inclination-kaushoga kamo katika hulka zako....una kipaji kilichokuwa dormant...
Pole sana sweet kwa kubanguliwa huko ili upate kazi. Kuna fundisho hapo kuwa tamaa zilimshinda fisi. Kwa mwingine yeyote anapaswa kujua kuwa ni vigumu kufuta jambo hilo kwenye nafsi yako. Ni heri watu wakajiamini na kujua kuwa wanastahili kupata nafasi kulingana na vigezo na si kulingana na rushwa. Huyo afisa mwajiri hapaswi kuwepo ofisini kama ukiamua kumshughulikia ili lisitokee tena jambo hilo kwa mwingine yeyote. Kisha unapaswa kupata counselor akusaidie kutoka kwenye trauma hiyo. Inaniuma kana kwamba ni mdogo wangu aliyefanyiwa. Aidha ukitaka msaada zaidi wa kupona kwenye trauma wasiliana nami. Pole dada.
 
duh uliliwa JICHO??? Pole sana... Kwa hiyo ukinunua gari uko tazara au ubungo kenye mataa unawasubiri trafiki aruhusu ..unavuta kukmbukumbu kuwa hilo gari ni product ya tigo na ile nyumba uliojenga je?? Na vipi kuhusu watu waliosafiria nyota yako ie umewatoa lunch, nunulia bia sana....pole sana.. Kwa ushauri wangu hiyo kazi achana nayo..afu utubie..toba iliyo ya kweli. Utasamehewa. ningekuwa nakufaham kila nikikutana na wewe nakuangalia jicho la huruma nisamehemniko hivo.
 
Pole sana kwa hilo lililotokea. Please naomba ujue kwamba hata kama ingekuwa njia ya kawaida still kwa kuwa ni rushwa ya ngono haikusa sahihi.
Kwa tendo ulilofanyiwa kutokana na statement yako ulikuwa ktk ulevi na pili under pressure you know na huyo shetani was prepared for that. Kusahau kitendo hicho kama hukuambukizwa magonjwa ni kwa njia moja tu.
Think, ukifanya ufatiliaji hapo kwa wafanyakazi wenzako utakuta kwamba hauko peke yako hivyo huo ni ujumbe mlionao nyie ni channel unabidi ufike kwa receiver ambayo ni ngazi ya juu inayoweza kumuadabisha huyo shetani ili pia utakuwa umewasaidia wenzako wanaoendelea kuumia na wanaotarajiwa kuumizwa pia na YOU WILL FILL THE DIFFERENCE. Utakuwa na amani
 
Ooopss..NAZJAZ again...the drama queen. mim nampenda huyu dada kwake vituko havikauki kamwe. kama kisa hiki ni cha kweli na sio cha kutengenezwa. Pole sana kwa yote yaliyokupata japo kwa maelezo yako ni kwamba ulifurahia na kuridhika na kila hatua iliyokufanya kupata cheo ulichokuwa unakitamaaani. UTU na heshima kweshnei

Wow! Nimependa jina lako,naomba uweke Da mbele ili iwe Da Vinci
 
...potelea pote kiwe ni kisa cha kweli au just she jokes, nimejifunza jambo moja:kuna wachangiaji ambao wapo kwenye matatizo zaidi ya mtoa mada,kwanini?hebu binafsi jaribu kugagua ni wakati gani huwa unajibu hovyo?ukiwa na furaha au ukiwa na hasira? Kwenye sehemu za kazi visirani vingi kv.majibu mabaya miongoni mwa wafanyakazi n.k hutokee mara nyingi katikati ya mwezi na hasa zile tarehe maarufu kama 'mwezi kona'

Ukiona mtu anajibu:ukome,uza hata hilo gari unaloringia,nenda makutano ya samola ujitangaze,toa picha yako n.k usimlaumu ndani ya moyo wake naye
wamo makubwa zaidi ya kuliwa tigo.

Siku moja mama aliniambia hivi:angalia afya za watu ambao hupenda sana kulaumu ...ni marafiki wa madaktari!
 
Mume wako anafahamu hii siri yako?

Mme wake ni mimi wala sina wasiwasi na hilo na ndoa yetu ina amani na utulivu sana na tunamshukuru Mungu. Binafsi ndio nimemshauri alete uzi huu kama sehemu ya release psychological tension !
 
Napata ugumu kuchangia hii mada kwani najikuta tu moyo unagoma kuamini kuwa hii imemtokea Nazjat, binti mjuaji ndani ya 6x6 yaani labda unihakikishie kuwa ni hadithi au story ya mtu mwingine unamwombea ushauri. Nazjat wa kujuta?? hapana

Mwambie huyo mdada pole zake. Akatubu kwa MUNGU wake na kama kweli anayo nia ya kulisahau hili basi aachie na ngazi maana jinsi alivyoipata itamhaunt milele.... atakuwa akisikia anaadressiwa Line up Manager aktakuwa anasikia tu ky, ky, na ky zaidi. Sina la zaidi!
 
Aisee!pole sana,kisaikolojia bado litakusumbua najua hii ni hatua ya kwanza ya pili tafuta watu2 au 3 zungumza nao kwa ukaribu,Mungu akutangulie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom