Bintimpendamaendeleo
Member
- Jun 12, 2012
- 8
- 1
Hivi ni sahii kwa mwanaume wako kukwambia I love u kila anakupigia simu?? Maana mpka mtu unakuwa na wasiwasi!
Dah nimeamini human behaviour ni very complicated!!nibora usome tabia za wadudu kuliko binadamu! Sasa hapo wasiwasi wako nini??asipokwambia I love u utamletea kesi na kumshutumu eti hakupendi. akikwambia I love u nayo pia shida unadhani sio sahihi!!dah! kazi kwelikweli inabidi abadilishe awe anasema Solidarity.......then we ujibu forever km mwanachama wa TUCTA! nadan itakuwa neutral!
Mwanadamu hatosheki hata ukimpa nini milele hatoridhika...
Hivi ni sahii kwa mwanaume wako kukwambia I love u kila anakupigia simu?? Maana mpka mtu unakuwa na wasiwasi!
Hivi ni sahii kwa mwanaume wako kukwambia I love u kila anakupigia simu?? Maana mpka mtu unakuwa na wasiwasi!
what i believe is, mtu anatekwambia i love you mara nyingi kuliko kawaida, kuna dalili ya udhaifu mahali, either ana cheat, au ni mtu wa hivi hivi, i mean ni mtu wa maneno tu bila vitendo