Inauma sana ya Nguza
1.Mtu anayeweza kuipeleka gerezani maisha familia nzima (Nguza & family) kwa kosa la kutunga tu!!huyu ni muuaji katili.
2.Mtu anaweza kuwazulia ubaya,kuwachafua na kuwadhalilisha wenzake ili yeye ateuliwe kuwa mgombea uraisi kupitia chama chake huyu ni kama muuaji tu.
3.Mtu anayetoa amri kwa vibaraka wake ili viongozi wa kisiasa wakamatwe, wawekwe ndani, wafunguliwe kesi za kutunga ovyo ovyo na kudhalilishwa kwa kila namna!! huyu anayo roho ya kiuwaji kabisa.
4. Mtu anaye amarisha vibaraka wake watumwagie risasi eti kwa kuwa tunaandamana kwa amani!!! yani huyu ni muuaji katili sana
5.Mtu anayeamrisha vibaraka wake watumwagie risasi na kutuuwa kwa kumlinda mwizi wa dhahabu yetu!! Hili ni liuwaji kubwa sana
6.Mtu anayepora fedha zetu ovyo ovyo kwa kushirikiana na mashwahiba wenzake huku akiwaletea bajaji mama zetu eti ziwapeleke hospital ambako pia hakuna dawa!! huyu ni bonge la muuaji.
Mboe, Dr. Slaa, Pro. Baregu, Pro. Safari, Tundu Lissu na wengine jueni mnakwenda kuzungumza na mtu kama wa aina hiyo. Watch out !!!
Acha tu lakini watanzania tulivyo malaika unafikiri tunaona,tunadharauliwa wazi wezi ambao hadi wawakilishi we2 wamewasema hawaandiki hata kuwaza kujiuzulu,oh God have mercy on us,kuishi tanzania ukiwa unawaza sana hukawii kuvaa bomu,sitaki hata kusikia hawa watu nimechoka,
Inauma sana ya Nguza
7: Kwakuongeza mkuu pia mtu kuwaahidi watu wa mkoa wa Kigoma kua ataugeuza mkoa huo na kua kama DUBAI wakati anajua kabisa haiwezekani mpaka sasa hivi tunatimiza miaka 50 ya uhuru watu bado wanaishi kwenye nyumba za Tembe! Huyu ni muuaji kabisa.
watu wenye hali duni kg wanaishi ktk nyumba gani?Kaka wacha ulongo KIGOMA hakuna nyumba za Tembe, nitajie hata kijiji kimoja chenye nyumbaq za TEMBE
1.Mtu anayeweza kuipeleka gerezani maisha familia nzima (Nguza & family) kwa kosa la kutunga tu!!huyu ni muuaji katili.
2.Mtu anaweza kuwazulia ubaya,kuwachafua na kuwadhalilisha wenzake ili yeye ateuliwe kuwa mgombea uraisi kupitia chama chake huyu ni kama muuaji tu.
3.Mtu anayetoa amri kwa vibaraka wake ili viongozi wa kisiasa wakamatwe, wawekwe ndani, wafunguliwe kesi za kutunga ovyo ovyo na kudhalilishwa kwa kila namna!! huyu anayo roho ya kiuwaji kabisa.
4. Mtu anaye amarisha vibaraka wake watumwagie risasi eti kwa kuwa tunaandamana kwa amani!!! yani huyu ni muuaji katili sana
5.Mtu anayeamrisha vibaraka wake watumwagie risasi na kutuuwa kwa kumlinda mwizi wa dhahabu yetu!! Hili ni liuwaji kubwa sana
6.Mtu anayepora fedha zetu ovyo ovyo kwa kushirikiana na mashwahiba wenzake huku akiwaletea bajaji mama zetu eti ziwapeleke hospital ambako pia hakuna dawa!! huyu ni bonge la muuaji.
Mboe, Dr. Slaa, Pro. Baregu, Pro. Safari, Tundu Lissu na wengine jueni mnakwenda kuzungumza na mtu kama wa aina hiyo. Watch out !!!
Liyumba?, kuwafilisi waliokataa kumuungamkono kwenye mbiyo za urais?!: mashishanga, barabhou?!, tambalizeni, brother Miki?!, kuwakumbatia walitoa fedhanyingi ...... Rostam, Rwakatare, Nkya, Mengi. Kuwakumbatia waliomletea vigagula......makamba, shekh Barhamia, sheikh yahya................
1.Mtu anayeweza kuipeleka gerezani maisha familia nzima (Nguza & family) kwa kosa la kutunga tu!!huyu ni muuaji katili.
2.Mtu anaweza kuwazulia ubaya,kuwachafua na kuwadhalilisha wenzake ili yeye ateuliwe kuwa mgombea uraisi kupitia chama chake huyu ni kama muuaji tu.
3.Mtu anayetoa amri kwa vibaraka wake ili viongozi wa kisiasa wakamatwe, wawekwe ndani, wafunguliwe kesi za kutunga ovyo ovyo na kudhalilishwa kwa kila namna!! huyu anayo roho ya kiuwaji kabisa.
4. Mtu anaye amarisha vibaraka wake watumwagie risasi eti kwa kuwa tunaandamana kwa amani!!! yani huyu ni muuaji katili sana
5.Mtu anayeamrisha vibaraka wake watumwagie risasi na kutuuwa kwa kumlinda mwizi wa dhahabu yetu!! Hili ni liuwaji kubwa sana
6.Mtu anayepora fedha zetu ovyo ovyo kwa kushirikiana na mashwahiba wenzake huku akiwaletea bajaji mama zetu eti ziwapeleke hospital ambako pia hakuna dawa!! huyu ni bonge la muuaji.
Mboe, Dr. Slaa, Pro. Baregu, Pro. Safari, Tundu Lissu na wengine jueni mnakwenda kuzungumza na mtu kama wa aina hiyo. Watch out !!!