Hii ni roho ya Muuwaji

Borakufa

JF-Expert Member
May 26, 2011
1,503
390
1.Mtu anayeweza kuipeleka gerezani maisha familia nzima (Nguza & family) kwa kosa la kutunga tu!!huyu ni muuaji katili.

2.Mtu anaweza kuwazulia ubaya,kuwachafua na kuwadhalilisha wenzake ili yeye ateuliwe kuwa mgombea uraisi kupitia chama chake huyu ni kama muuaji tu.

3.Mtu anayetoa amri kwa vibaraka wake ili viongozi wa kisiasa wakamatwe, wawekwe ndani, wafunguliwe kesi za kutunga ovyo ovyo na kudhalilishwa kwa kila namna!! huyu anayo roho ya kiuwaji kabisa.

4. Mtu anaye amarisha vibaraka wake watumwagie risasi eti kwa kuwa tunaandamana kwa amani!!! yani huyu ni muuaji katili sana

5.Mtu anayeamrisha vibaraka wake watumwagie risasi na kutuuwa kwa kumlinda mwizi wa dhahabu yetu!! Hili ni liuwaji kubwa sana

6.Mtu anayepora fedha zetu ovyo ovyo kwa kushirikiana na mashwahiba wenzake huku akiwaletea bajaji mama zetu eti ziwapeleke hospital ambako pia hakuna dawa!! huyu ni bonge la muuaji.

Mboe, Dr. Slaa, Pro. Baregu, Pro. Safari, Tundu Lissu na wengine jueni mnakwenda kuzungumza na mtu kama wa aina hiyo. Watch out !!!
 
Ngoja no-log off, nitarejea baada haya machache yaliyonenwa mwaka huu kutimia: waraka wa wanausalama 2858, waraka wa kumtaka ajihudhru baada ya siku 100(zinaisha tisa desemba), hoja ya kutenganisha urais na uenyekiti.....period, na ama after 2015 election.
 
Acha tu lakini watanzania tulivyo malaika unafikiri tunaona,tunadharauliwa wazi wezi ambao hadi wawakilishi we2 wamewasema hawaandiki hata kuwaza kujiuzulu,oh God have mercy on us,kuishi tanzania ukiwa unawaza sana hukawii kuvaa bomu,sitaki hata kusikia hawa watu nimechoka,
 
Liyumba?, kuwafilisi waliokataa kumuungamkono kwenye mbiyo za urais?!: mashishanga, barabhou?!, tambalizeni, brother Miki?!, kuwakumbatia walitoa fedhanyingi ...... Rostam, Rwakatare, Nkya, Mengi. Kuwakumbatia waliomletea vigagula......makamba, shekh Barhamia, sheikh yahya................
Inauma sana ya Nguza
 
1.Mtu anayeweza kuipeleka gerezani maisha familia nzima (Nguza & family) kwa kosa la kutunga tu!!huyu ni muuaji katili.

2.Mtu anaweza kuwazulia ubaya,kuwachafua na kuwadhalilisha wenzake ili yeye ateuliwe kuwa mgombea uraisi kupitia chama chake huyu ni kama muuaji tu.

3.Mtu anayetoa amri kwa vibaraka wake ili viongozi wa kisiasa wakamatwe, wawekwe ndani, wafunguliwe kesi za kutunga ovyo ovyo na kudhalilishwa kwa kila namna!! huyu anayo roho ya kiuwaji kabisa.

4. Mtu anaye amarisha vibaraka wake watumwagie risasi eti kwa kuwa tunaandamana kwa amani!!! yani huyu ni muuaji katili sana

5.Mtu anayeamrisha vibaraka wake watumwagie risasi na kutuuwa kwa kumlinda mwizi wa dhahabu yetu!! Hili ni liuwaji kubwa sana

6.Mtu anayepora fedha zetu ovyo ovyo kwa kushirikiana na mashwahiba wenzake huku akiwaletea bajaji mama zetu eti ziwapeleke hospital ambako pia hakuna dawa!! huyu ni bonge la muuaji.

Mboe, Dr. Slaa, Pro. Baregu, Pro. Safari, Tundu Lissu na wengine jueni mnakwenda kuzungumza na mtu kama wa aina hiyo. Watch out !!!

7: Kwakuongeza mkuu pia mtu kuwaahidi watu wa mkoa wa Kigoma kua ataugeuza mkoa huo na kua kama DUBAI wakati anajua kabisa haiwezekani mpaka sasa hivi tunatimiza miaka 50 ya uhuru watu bado wanaishi kwenye nyumba za Tembe! Huyu ni muuaji kabisa.
 
Acha tu lakini watanzania tulivyo malaika unafikiri tunaona,tunadharauliwa wazi wezi ambao hadi wawakilishi we2 wamewasema hawaandiki hata kuwaza kujiuzulu,oh God have mercy on us,kuishi tanzania ukiwa unawaza sana hukawii kuvaa bomu,sitaki hata kusikia hawa watu nimechoka,

Inauma sana ila kila kitu kina mwisho wake
 
ni wauwaji wachache ambao wanaweza kujitokeza hadharani na kusema mi ni muuwaji
et anasema tumuangalie sura kwani sura ndi jibu?
 
7: Kwakuongeza mkuu pia mtu kuwaahidi watu wa mkoa wa Kigoma kua ataugeuza mkoa huo na kua kama DUBAI wakati anajua kabisa haiwezekani mpaka sasa hivi tunatimiza miaka 50 ya uhuru watu bado wanaishi kwenye nyumba za Tembe! Huyu ni muuaji kabisa.

Kaka wacha ulongo KIGOMA hakuna nyumba za Tembe, nitajie hata kijiji kimoja chenye nyumbaq za TEMBE
 
1.Mtu anayeweza kuipeleka gerezani maisha familia nzima (Nguza & family) kwa kosa la kutunga tu!!huyu ni muuaji katili.

2.Mtu anaweza kuwazulia ubaya,kuwachafua na kuwadhalilisha wenzake ili yeye ateuliwe kuwa mgombea uraisi kupitia chama chake huyu ni kama muuaji tu.

3.Mtu anayetoa amri kwa vibaraka wake ili viongozi wa kisiasa wakamatwe, wawekwe ndani, wafunguliwe kesi za kutunga ovyo ovyo na kudhalilishwa kwa kila namna!! huyu anayo roho ya kiuwaji kabisa.

4. Mtu anaye amarisha vibaraka wake watumwagie risasi eti kwa kuwa tunaandamana kwa amani!!! yani huyu ni muuaji katili sana

5.Mtu anayeamrisha vibaraka wake watumwagie risasi na kutuuwa kwa kumlinda mwizi wa dhahabu yetu!! Hili ni liuwaji kubwa sana

6.Mtu anayepora fedha zetu ovyo ovyo kwa kushirikiana na mashwahiba wenzake huku akiwaletea bajaji mama zetu eti ziwapeleke hospital ambako pia hakuna dawa!! huyu ni bonge la muuaji.

Mboe, Dr. Slaa, Pro. Baregu, Pro. Safari, Tundu Lissu na wengine jueni mnakwenda kuzungumza na mtu kama wa aina hiyo. Watch out !!!


TO EVERY ACTION THERE IS EQUAL AND OPPOSITE REACTION....believe it or not, muosha huoshwa!
It will be revealed soon.
 
Liyumba?, kuwafilisi waliokataa kumuungamkono kwenye mbiyo za urais?!: mashishanga, barabhou?!, tambalizeni, brother Miki?!, kuwakumbatia walitoa fedhanyingi ...... Rostam, Rwakatare, Nkya, Mengi. Kuwakumbatia waliomletea vigagula......makamba, shekh Barhamia, sheikh yahya................

Jf ina mambo!
 
1.Mtu anayeweza kuipeleka gerezani maisha familia nzima (Nguza & family) kwa kosa la kutunga tu!!huyu ni muuaji katili.

2.Mtu anaweza kuwazulia ubaya,kuwachafua na kuwadhalilisha wenzake ili yeye ateuliwe kuwa mgombea uraisi kupitia chama chake huyu ni kama muuaji tu.

3.Mtu anayetoa amri kwa vibaraka wake ili viongozi wa kisiasa wakamatwe, wawekwe ndani, wafunguliwe kesi za kutunga ovyo ovyo na kudhalilishwa kwa kila namna!! huyu anayo roho ya kiuwaji kabisa.

4. Mtu anaye amarisha vibaraka wake watumwagie risasi eti kwa kuwa tunaandamana kwa amani!!! yani huyu ni muuaji katili sana

5.Mtu anayeamrisha vibaraka wake watumwagie risasi na kutuuwa kwa kumlinda mwizi wa dhahabu yetu!! Hili ni liuwaji kubwa sana

6.Mtu anayepora fedha zetu ovyo ovyo kwa kushirikiana na mashwahiba wenzake huku akiwaletea bajaji mama zetu eti ziwapeleke hospital ambako pia hakuna dawa!! huyu ni bonge la muuaji.

Mboe, Dr. Slaa, Pro. Baregu, Pro. Safari, Tundu Lissu na wengine jueni mnakwenda kuzungumza na mtu kama wa aina hiyo. Watch out !!!

Bora kufa!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom