Kombo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,812
- 509
Kaka wacha ulongo KIGOMA hakuna nyumba za Tembe, nitajie hata kijiji kimoja chenye nyumbaq za TEMBE
Kabulanzwili
Kaka wacha ulongo KIGOMA hakuna nyumba za Tembe, nitajie hata kijiji kimoja chenye nyumbaq za TEMBE
Ngoja no-log off, nitarejea baada haya machache yaliyonenwa mwaka huu kutimia: waraka wa wanausalama 2858, waraka wa kumtaka ajihudhru baada ya siku 100(zinaisha tisa desemba), hoja ya kutenganisha urais na uenyekiti.....period, na ama after 2015 election.