Hii ni mwaka 2015 lakini mpaka leo serikali imeshindwa kutatua hii kero

Vincenzo Jr

JF-Expert Member
Sep 23, 2020
12,402
25,944
20231113_203845.jpg

Rais Kikwete atembelea Tegeta na Mkwajuni Kujionea Athari za Mafuriko 2015
 
Matatizo haya aliyasema Mwalimu Nyerere mwaka 1961. Lakini hadi kesho ndio yanazidi kuongezeka.

Maadui wakubwa wa Taifa.

"Umasikini.
Ujinga.
Maradhi''

Mwalimu JK Nyerere.
 
Back
Top Bottom