mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 1,221
- 1,269
Siungi mkono polisi kupigwa , wala polisi kuonea watu, lakini inafikirisha kidogo, haiwezekani eneo moja hilo hilo mpigwe na kuzomewa mara mbili na mshindwe kufanya kazi iliyowapeleka pale isipokuwa operation mfanyayo ni batili
Wakiwa kwenye msako wa kukamata bodaboda wakorofi kila wakifika mtaa wa ndanda na narungombe ni kichapo tu na aibu kutoka kwa vijana wa kisambaa waendeshao bodaboda
Na hii inathibitisha udhaifu wa polisi au dhulma waifanyayo
Kama wasemavyo vita inaweza kuanzia huku huku kwenye bodaboda na machinga, sikuamini macho yangu, polisi anachangiwa mpaka wanakula kona😂😂🤣🤣🤣, picha ipo ila kimaadili haifai kuwekwa hapa
Kazi kwenu
Wakiwa kwenye msako wa kukamata bodaboda wakorofi kila wakifika mtaa wa ndanda na narungombe ni kichapo tu na aibu kutoka kwa vijana wa kisambaa waendeshao bodaboda
Na hii inathibitisha udhaifu wa polisi au dhulma waifanyayo
Kama wasemavyo vita inaweza kuanzia huku huku kwenye bodaboda na machinga, sikuamini macho yangu, polisi anachangiwa mpaka wanakula kona😂😂🤣🤣🤣, picha ipo ila kimaadili haifai kuwekwa hapa
Kazi kwenu