Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 5,143
- 2,547
Fikiria umempeleka mtu hotelini/mgahawa, ukamwambia aagize anachokitaka, akaagiza sahani ya chips, kuku nusu na soda, alafu katika vyote hivyo kila kimoja anatumia nusu nusu anaacha.
Hii tabia huwa inanikera sana, sijui wewe unasemaje kuhusu tabia hii.
Hii tabia huwa inanikera sana, sijui wewe unasemaje kuhusu tabia hii.