Hii ni handbag ya nani hapo kwa PM?

Hii ni handbag ya nani hapo kwa PM?

[emoji28][emoji28][emoji28] angalia vizuri kuna mtu nyuma ya PM

Ukiangalia mkono wa PM na mikanda ya bag utagundua kuna mtu.

Pia kwa chin kuna kama kagiza flan cha kuashiria kuna mtu ameibebaa
Uko sahihi sana sio PM kabeba hand bag.
 
akitimba mkuu yan hata PM anaweza msalimia bodyguard wake akati wamesha salimiana#JPM weka mbali na watoto
 
[emoji28][emoji28][emoji28] angalia vizuri kuna mtu nyuma ya PM

Ukiangalia mkono wa PM na mikanda ya bag utagundua kuna mtu.

Pia kwa chin kuna kama kagiza flan cha kuashiria kuna mtu ameibebaa
Hamna mtu pale kwa nyuma ya PM
ukiingalia vizuri sanaa na kwa ukaribu ni kama imeegeshwa kwenye kitu inaning'inia nadhan mlango
 
Back
Top Bottom