UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,693
- 12,326
Doubt everything msemo wa Kijerumani huo una maana kubwa sanaMimi nashangaa tu hawa watu kuwa hawa aminiani kabisa maana unaweza ona walizi wanavyo angalia hapo wanapo salimiana
Doubt everything msemo wa Kijerumani huo una maana kubwa sanaMimi nashangaa tu hawa watu kuwa hawa aminiani kabisa maana unaweza ona walizi wanavyo angalia hapo wanapo salimiana
Hajabeba yeye kabeba bodyguardYaani sijui wanandoa wataanza kujiheshimu lini
Mkuu hiyo handbag haijabebwa na PM labda nikupe picha ndo utaamini!!! angalia [emoji116] [emoji116]Haijakaa sawa hata kidogo
Ngoja nikusapoti mkuu kwa picha, watu walishazoea kupotosha hata visivyowezekana!!The handbag is NOT in the hands of PM.Look at the pic very carefully!
The handbag is NOT in the hands of PM.Look at the pic very carefully!
Upo sawa, na vilevile kuna picha nyingine imeonyesha mpambe wa makamu wa rais ndiye alishika huo mkoba[emoji28][emoji28][emoji28] angalia vizuri kuna mtu nyuma ya PM
Ukiangalia mkono wa PM na mikanda ya bag utagundua kuna mtu.
Pia kwa chin kuna kama kagiza flan cha kuashiria kuna mtu ameibebaa
Hawa jamaa walinzi hawajui chochote, yani wao wanatimiza wajibu waoMimi nashangaa tu hawa watu kuwa hawa aminiani kabisa maana unaweza ona walizi wanavyo angalia hapo wanapo salimiana
Jamaa unakula mchicha! ila kamtu kenyewe ni kafupi PM hajabeba mkoba bandugu.[emoji28][emoji28][emoji28] angalia vizuri kuna mtu nyuma ya PM
Ukiangalia mkono wa PM na mikanda ya bag utagundua kuna mtu.
Pia kwa chin kuna kama kagiza flan cha kuashiria kuna mtu ameibebaa
Mtakuwa mnajiabisha bure, PM hajabeba mkoba kwanza kwa nini abebe ? wasaidizi wa mama wana kazi gani?Hamna mtu pale kwa nyuma ya PM
ukiingalia vizuri sanaa na kwa ukaribu ni kama imeegeshwa kwenye kitu inaning'inia nadhan mlango
Huo mkoba hajabeba yeye, angalia vizuri hiyo picha utaona