Hii ni handbag ya nani hapo kwa PM?

Hii ni handbag ya nani hapo kwa PM?

Hiyo MTU alimkumbatia pm kwa nyuma mini maana hata miigguu isionekane kwani kuna dhambi kumbebea kikoba

Hahahaha! Mkuu angalia kwa nyuma kdg ya PM kadiria upana wa suti ya PM thn utakundua pia kuna weusi wa nguo nyingine pia

Ila pia sio dhambi! Being gentle is choice sometimes
 
Aliyeshika huo mkoba sio PM, kuna mtu kwa nyuma ila haonekani vizuri. angalia vizuri mkono wa Katelephone hauna kitu
 
PM hajabeba handbag hapo there's a guy hapo nyuma yake angalia hata proximity ya bag na mguu wa PM,ukishikiliwa sina dhamana
 
FB_IMG_14891304573281092.jpg
 
Hiyo handbag ingekuwa imebebwa na Bashite mama angelia smartphone yake hapo!
 
[emoji28][emoji28][emoji28] angalia vizuri kuna mtu nyuma ya PM

Ukiangalia mkono wa PM na mikanda ya bag utagundua kuna mtu.

Pia kwa chin kuna kama kagiza flan cha kuashiria kuna mtu ameibebaa
Kwel ht mi nimeona hilo
 
Aliyebeba huo mkoba sio PM bali ni msaidizi wa makamu wa rais angalia picha vizuri hapo.
 
Mbona kama imeshikwa na mtu mwingine nyuma ya VP sema haonekani PM kamziba
 
Back
Top Bottom