mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 2,667
- 3,455
Ni Baba yao ndio alikuwa Mjerumani, Aliwahi kuwa RPC kagera miaka ya nyuma Sana, Mwanzoni mwa Vita ya kagera alikamatwa na Wanajeshi wa IDD AMIN akauliwa vibaya IDD AMIN akatoa shutuma tuna mamluki kulingana na yule mzee alivyokuwa ila Mama yao alikuwa MHEHE kitu Kama hicho!!!Babu yao ni mjerumani.