Pengine wasingechanja wangekuwa hai. Nafikiri kuna watu hii chanjo inatibua afya zao maana tetesi za waliochanja kuondoka ni nyingi na bora zingefanyiwa kazi ili tuwe na njia ya kusaidia wengine.Watu wanafikiri ukichanjwa basi ujiachie achie tu. Ukichanjwa endelea kuchukua tahadhari.
Kulikuwa na Aldo Pope, ni yupi kati ya hao?Hii ni familia ya Hans Pope kushoto ni kaka yake Eddy ambaye naye yuko mahututi Aga Khan anapumulia mashine na uwezo wa kupumua hana.
Mdogo wake kwenye picha kulia naye amelazwa Iringa walau hali yake siyo mbaya sana.
Ni mtihani mkubwa sana familia ya Hans Pope inaupitiaView attachment 1933260
Baba yao, sio babu yao. Alitekwa na Nduli.Alishaded.
Tatizo virus anamutate.Mtu aliyeugua Corona na kupona, ana tofauti na mtu aliechanjwa? Kwamba mwili umeshajifunza jinsi ya kupambana hivyo una kinga ya asili tayari..
Hiki kitu hakisemwi kabisa yaaniNi pigo na ni Msiba mkubwa sana kutokea kwa mara Moja.
Kingine cha kukumbushana kuwa hawa waathirika walikuwa wameshachanjwa!
Unajua wagonjwa wa familia nyingine je familia yako wote ni wazima?Hii ni familia ya Hans Pope kushoto ni kaka yake Eddy ambaye naye yuko mahututi Aga Khan anapumulia mashine na uwezo wa kupumua hana.
Mdogo wake kwenye picha kulia naye amelazwa Iringa walau hali yake siyo mbaya sana.
Ni mtihani mkubwa sana familia ya Hans Pope inaupitiaView attachment 1933260
familia Maaruf, Baba Hans Pope alikuwa RPC na na IDD Amin Zakaria na Harry kumpindua Nyerere.Hapo maarufu ni mmoja tu, lakini wengine wanabebeshwa zigo la "kimba" ilmradi wanuke.
Mungu Awaponye, Ammrehemu na marehemu.
Usiwe una kurupuka "kurupuuu", unatulia kwanza, unasafisha koo kisha unashika simu janja yako na kujibu ulichokiona...familia Maaruf, Baba Hans Pope alikuwa RPC na na IDD Amin Zakaria na Harry kumpindua Nyerere.
Ukishaugua COVID-19 hata ukipona unakuwa umeshaharibika sana mapafu.Mtu aliyeugua Corona na kupona, ana tofauti na mtu aliechanjwa? Kwamba mwili umeshajifunza jinsi ya kupambana hivyo una kinga ya asili tayari..
Mbona ni kama wana viini vya udosiHii ni familia ya Hans Pope kushoto ni kaka yake Eddy ambaye naye yuko mahututi Aga Khan anapumulia mashine na uwezo wa kupumua hana.
Mdogo wake kwenye picha kulia naye amelazwa Iringa walau hali yake siyo mbaya sana.
Ni mtihani mkubwa sana familia ya Hans Pope inaupitiaView attachment 1933260
On a sasa unaniambia nimekurupuka !Kumbe mjini umekuja juzi.Usiwe una kurupuka "kurupuuu", unatulia kwanza, unasafisha koo kisha unashika simu janja yako na kujibu ulichokiona...
Ni kweli Baba yake Marehemu Zacharia Alikua RPC na Aliuawa na Majeshi ya Nduli Iddi Amin "Dada".. swali, Je yupo hapo katika picha? (Hii ni dhahiri ulikurupuka, mimi nimesema katika hiyo familia "hao wa kwenye picha" maarufu ni mmoja tu)
Huyo Harry ndio nani? Alikuwa na cheo gani?
Nimekuja leo, hapa bado nipo na "shangazi kaja" nimetoka nayo sigimbi..On a sasa unaniambia nimekurupuka !Kumbe mjini umekuja juzi.
Nimechelewa kidogo sista,kesho usinisahau.
Ukinionesha mara moja tu,siku zingine nitakua naenda mwenyewe
Nani kasema hamutate?Tatizo virus anamutate.
Ila unakuwa na kinga sio?Ukishaugua COVID-19 hata ukipona unakuwa umeshaharibika sana mapafu.
Alishafika kuwa Colonel?Hii ni familia ya Hans Pope kushoto ni kaka yake Eddy ambaye naye yuko mahututi Aga Khan anapumulia mashine na uwezo wa kupumua hana.
Mdogo wake kwenye picha kulia naye amelazwa Iringa walau hali yake siyo mbaya sana.
Ni mtihani mkubwa sana familia ya Hans Pope inaupitiaView attachment 1933260
No, alifikia Captain.Alishafika kuwa Colonel?
Umbeya tu unakusumbua. Kulikua na sababu ya kuyaleta hapa auHii ni familia ya Hans Pope kushoto ni kaka yake Eddy ambaye naye yuko mahututi Aga Khan anapumulia mashine na uwezo wa kupumua hana.
Mdogo wake kwenye picha kulia naye amelazwa Iringa walau hali yake siyo mbaya sana.
Ni mtihani mkubwa sana familia ya Hans Pope inaupitiaView attachment 1933260