Hii ni dawa ya nini?

Hii ni dawa ya nini?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,082
Reaction score
2,354
Nimeikuta kwenye bag la mtu wangu katoka safarini.
Ni dawa ya nin?

20220402_122604.jpg
 
Ni jamii ya viagra hiyo.jamaa kitombi sana huyo yaelekea
 
Ni jamii ya viagra hiyo.jamaa kitombi sana huyo yaelekea
Mbona haujaongelea kazi nyengine ya hiyo dawa mkuu? Mfano inatumika kutibu tatizo la uume kulegea, pia inatibu matatizo ya tezi dume hasa iliyoongezeka au inayoanza kuongezeka kitaalam wanaita ( benign prostatic hyperplasia (BPH) ) .
 
Back
Top Bottom