Hii ni aina gani ya kuku??

Hii ni aina gani ya kuku??

27517.jpg


Nahisi itakua aina hizi
 

Attachments

  • 27517.jpg
    27517.jpg
    34.4 KB · Views: 8
Leo nimepita maeneo flani hapa dar nikaona kuku ambao sijawaelewa.

Paja lake tuu wanauza 15,000
Hilo paja ni nene sana Lina nyama nyingi uzito ni zaidi ya kg1

Shingo yake ni ndefu sana halafu nene mno.

Hii ni mbegu aina gan ya kuku?

Mfupa wake ni ngumu kama wa mbuzi kuuvunja lazima upige panga
Ni bata mzinga na kuna siku niliandika uzi humu wa namna ya kuipika - supu ya bata mzinga (shingo na miguu)
 
Back
Top Bottom