Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,510
- 8,006
- Thread starter
- #81
nimeshapewa majibu you can relax now buddy!Kwahiyo wewe unatakaje kwa mfano 😅😅
nimeshapewa majibu you can relax now buddy!Kwahiyo wewe unatakaje kwa mfano 😅😅
hapana hata hilo eneo sikuwah kujua kama kuna kakijiji kadogo kapoAnayekaa hiyo nyumba wamfahamu?
wakati mwengine naogopa kwamba yatakuja mazito sitaweza kuhandleSawa, binafsi nahisi huu ni ujumbe ambao pengine umefunuliwa kwa namna tofauti ila Umekuwa ukipuuza.
Nahisi Ujumbe unaopewa hapa ni kwamba unaouweza wa kiroho wa kuona tamati ya jambo fulani zuri au baya.
Kama ni mtu wa imani kabla ya kulala hakikisha umefanya maombi mazito kumuomba Mungu akufunulie kazi za hii nguvu uliyonayo.
Kuna uwezekano mkubwa matukio ya namna hii yakaendelea kujitokeza hadi pale utakapoelewa ujumbu unaoletewa.
ninaota ndoto za kukaribishwa kula lakini ikifika nataka kula huanashtuka hapohapo na najikuta hua najiuliza ndotoni mbona kama nyama sielewi ni nyama gan imekaangwa wakat huo nafosiwa kula ni tam mimi nikishika tu kipande lazima nitashtuka nishazoea sasaNdoto zinatumika kutekeleza mambo mengi ambayo katika uhalisia pengine ni ngumu. Hata watu ambao hawawezi kukufikia kikawaida, huwa wanatumia ndoto.
Ndio maana ndotoni ukimuota mbaya wako, usipokee au kumpa kitu chochote. Maana hiyo part inakuwa halisi.
naupata kupitia wapi google? sina elim kuhusu hii kitu zaidi ya kusoma soma tuUnalala kwanza usingiz unaisha ,ndio unafanya ,pia ukipata mwongozo ni vizuri zaidi kwa sababu kila aina ya meditation ina kazi yake.
??Astral travelling.
nifundisheMwaka wa kumi nafanya meditation , asubuh na usiku wa manane ,naijua vilivyo boss hizi mambo za kufa ni story za abunuasi .
ulikutana na nn? hebu nielezeeNimejaribu hiyo kitu, sikuwahi kutoka nje ya mwili nilikuwa katika stage ya naweza kusema ya mwisho kabisa ili nitoke nje ya mwili lakini nilichokutana nacho kilinifanya nisitishe hilo zoezi.
Nimejaribu kusoma sana kuhusu hilo jambo maelezo ya wataalamu wa hayo mambo wameelezea pia hatari yake.
Mchele na ndondoNami nitabirie nimekula nini usiku huu?
Maskani yako mpya hiyo,hapana hata hilo eneo sikuwah kujua kama kuna kakijiji kadogo kapo
maskani yangu mpya kivipi?Maskani yako mpya hiyo,
Huenda ukanunua hilo eneomaskani yangu mpya kivipi?
au sioHuenda ukanunua hilo eneo
Acha kuzifatilia ndoto mpenz zitakupotezea mudaSiku kama nne nyuma niliota nipo napita njia ambayo kiuhalisia naijua hiyo njia lakini sikuwahi kuipita, yaani unaiona njia inaelekea huko ila sijajua inaishia wapi nasjawah kujishughulisha kisha nikajikuta nimefikia kwenye kitongoji nimekaa kibarazani nje.
Mbele yangu kuna minazi kwa idadi ni mitatu nikishtuka kulipokucha sikuifatilia sana nikaendelea na shughuli zangu, kimbembe ni leo nimeipita hiyo njia na hiyo nyumba pia ndio nilipofikia na idadi ya minazi ipo vilevile kama nilivyoota sasa nimekuwa najiuliza hii sehemu niliiona wapi nikagundua niliota jaman inanitatiza inawezekanje na inamaanisha nini?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂NDugu yangu wewe utafika mbali sana kisiasa, hiyo njia inaashiria unatoka chini kabisa kisiasa mpaka juu kabisa, hiyo minazi mitatu ni Rais, waziri mkuu na Makamu wa rais mnajadili jambo kwa pamoja....kwa kifupi hiyo sehemu ni Ikulu....umetusua kijana.
Ndio, mie huwa naona matukio kabla hayajatokea kupitia ndoto. Mfano; Balozi Polepole wiki hii awe makini kazini kwake, kuna kitu kibaya nimeoteshwa.kipawa?
Watafsiri wa ndoto wanasema kuhusu kulishwa nyama Ni ndoto mbaya Sana inahusiana na ushirikina na uchawininaota ndoto za kukaribishwa kula lakini ikifika nataka kula huanashtuka hapohapo na najikuta hua najiuliza ndotoni mbona kama nyama sielewi ni nyama gan imekaangwa wakat huo nafosiwa kula ni tam mimi nikishika tu kipande lazima nitashtuka nishazoea sasa
kiuhalisia usiku unapolala,roho huwa inatoka na kusafiri pote pale,ndo manake unaambiwa usimwamshe kwa kumstukiza mtu aliyelala anaweza akafariki!!,,,,yaani namaanisha mwili ni jela ya roho,na siku unapokufa ndo siku roho yako inapokuwa huru,,,,,,,yaani kwa watu wenye imani kali ni kwamba,,,"siku ya kuzaliwa ndo sikuya kufa {ndo manake unalia sana kwa uchungu nausipolia unapigwa vibao vya mgongo mpaka ulie na ajabu ni kwamba walikuzunguka wanacheka kwa furaha,na siku yako ya kufa wewe unakuwa kimya lakini waliokuzunguka wanalia kwa uchungu}Siku kama nne nyuma niliota nipo napita njia ambayo kiuhalisia naijua hiyo njia lakini sikuwahi kuipita, yaani unaiona njia inaelekea huko ila sijajua inaishia wapi nasjawah kujishughulisha kisha nikajikuta nimefikia kwenye kitongoji nimekaa kibarazani nje.
Mbele yangu kuna minazi kwa idadi ni mitatu nikishtuka kulipokucha sikuifatilia sana nikaendelea na shughuli zangu, kimbembe ni leo nimeipita hiyo njia na hiyo nyumba pia ndio nilipofikia na idadi ya minazi ipo vilevile kama nilivyoota sasa nimekuwa najiuliza hii sehemu niliiona wapi nikagundua niliota jaman inanitatiza inawezekanje na inamaanisha nini?
Kwa vile umeongea ndio basi haiendi hivyo.NDugu yangu wewe utafika mbali sana kisiasa, hiyo njia inaashiria unatoka chini kabisa kisiasa mpaka juu kabisa, hiyo minazi mitatu ni Rais, waziri mkuu na Makamu wa rais mnajadili jambo kwa pamoja....kwa kifupi hiyo sehemu ni Ikulu....umetusua kijana.
si mchezoWatafsiri wa ndoto wanasema kuhusu kulishwa nyama Ni ndoto mbaya Sana inahusiana na ushirikina na uchawi