Hii ndoto inamaanisha nini?

Hii ndoto inamaanisha nini?

Kuna ndoto huwa inajirudia kwangu iko hivi, niloachana na BF wangu miaka 5 iliyopita. Kwa kweli ndio niliyempenda kwa moyo woote. Ila ndotoni kila ninapomuota naota yuko pamoja na maisha yanaendelea wakati tulishaachana miaka mingi kila mtu ana maisha yake ns familia yake. Why nisimuote huyu niliyenaye?

Je huwa unamfikiria ?

Ipo hivi MTU ambaye yupo katika imagination yako (fikra) na mtu unyemuwaza ni tofauti.

Ikiwa ile picha ya X wako IPO kichwani na kila ukiivuta inakuja unaiona basi huyo X wako ndo upo naye karibu kuliko hata huyo unayeishi naye.


Imagination
Thought

Kitendo cha kubaki na picha ya MTU kichwani kinaweza kukufanya kumuota mara kwa Mara na hii inaweza isiwe na maana yoyote .
 
Simaanishi hii meditation ya kawaida, namaanisha hiyo ya kutoka nje ya mwili ukiwa umelala.
Hiyo naifanya kila siku , haina shida yoyote binadamu hawezi kufa tu kama mda wa kupata uzoefu haujaisha, kifo kinakupata kwenye hali yoyote unaweza ata paliwa na maji ukaondoka.
 
Hiyo naifanya kila siku , haina shida yoyote binadamu hawezi kufa tu kama mda wa kupata uzoefu haujaisha, kifo kinakupata kwenye hali yoyote unaweza ata paliwa na maji ukaondoka.
Wewe unaifanya kila siku ni sawa lakini kwa mtu anayejifunza ni vyema ukamueleza na consequences zake.

Swala la kutoka nje ya mwili si jepesi kama unavyotaka kutuaminisha, kuachana na mwili milele ni swala jepesi sana kwa mtu anayejaribu bila utaalamu/uzoefu.
 
Wewe unaifanya kila siku ni sawa lakini kwa mtu anayejifunza ni vyema ukamueleza na consequences zake.

Swala la kutoka nje ya mwili si jepesi kama unavyotaka kutuaminisha, kuachana na mwili milele ni swala jepesi sana kwa mtu anayejaribu bila utaalamu/uzoefu.
Meditation ina step zake unatakiwa ufanye kwa mwongozo maalumu kila hatua ,mpaka uwe master , pia nikutoe hofu mtu awezi kufa kibahati mbaya ukiona kaenda ni ilipaswa iwe hivyo .
 
Meditation ina step zake unatakiwa ufanye kwa mwongozo maalumu kila hatua ,mpaka uwe master , pia nikutoe hofu mtu awezi kufa kibahati mbaya ukiona kaenda ni ilipaswa iwe hivyo .
Maisha ni zawadi, ni mjinga pekee atayefanya jambo hatarishi akitegemea hatopata matokeo yake.
 
Usiamini katika ndoto, ila chukua kile ulichojifunza wewe. Bila kutafta mawazo ya watu wengine, utapata funzo utakapo tafta jibu la ndoto yako wewe mwenyewe. Hakuna ajuaye maisha yako na mawazo yako isipokuwa wewe mwenyewe. Na kile ulichokiota sio mpaka kitokee. Inshort ndoto ni kidhihirisho kuwa ubongo wa mwanadamu haulali.
 
Maisha ni zawadi, ni mjinga pekee atayefanya jambo hatarishi akitegemea hatopata matokeo yake.
Ulishawahi kufanya Astral projection au unasikia fununu tu mkuu ,ukute unaongelea fununu.
 
Ulishawahi kufanya Astral projection au unasikia fununu tu mkuu ,ukute unaongelea fununu.
Nimejaribu hiyo kitu, sikuwahi kutoka nje ya mwili nilikuwa katika stage ya naweza kusema ya mwisho kabisa ili nitoke nje ya mwili lakini nilichokutana nacho kilinifanya nisitishe hilo zoezi.

Nimejaribu kusoma sana kuhusu hilo jambo maelezo ya wataalamu wa hayo mambo wameelezea pia hatari yake.
 
Ulikuwa unayaelekea mafanikio…sijui yapi sasa….maadui ni hao minazi mitatu kukuzuia….lakini mbali na vizuizi umeyafikia ila bado maadui hawajachoka kukuharibia….ndiyo maana mbali na kuifikia nyumba lakini bado minazi haijapotea….ni alert kuwa makini
Mmh my tangu lini umeanza kuwa na upako?
 
Ni mchanganuo wa imani za kimadhehebu (Sabato, Islamic na Pentecostal). Ni kwamba zote ulishahubiliwa na unazijua - sasa kitambo utaamua njia iliyo sahihi ya wewe kuwa mwana wa Mungu ktk maisha, matendo na roho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom