mkuu umenipa ushauri mzuri sana, ntaufanyia kazi...hahahaaaa, ila makofi mawili matatu sikuchezeaPole kwanza kwa kuchezea makofi mawili matatu maana najua hayo huwezi kuhadithia. Halafu wanaume wenzako moto ukiwaka huwa hawajifungii ndani bali wanatoka nje.
Pili japo mkeo aliover react lakini wewe mwanaume jiweke kwenye nafasi yake sasa ndio kapiwa simu halafu akaenda barazani na mwanaume tu anayefahamiana naye akawa anambembeleza amkopeshe halafu ukawa umesikia. Mkeo huyo wa ndoa wamsiki jamaa anabembeleza akopeshwe na jamaa wala humjui. Hapo mkuu ulifanya makosa sana. Simu kama hizo ungeenda kuongelea mbali huko. Alichofanya cha kuibamiza simu kwa hasira ni justifiable given that hata wewe ungeweza kufanya kama hivyo. Kumpiga mke vibao ni makosa japo nikiri hasira ndio zinaponza lkn ni kosa.
Jambo la kuogofya ni mkeo kukushikia kisu na mtwangio. Hii kwa kweli haikubaliki maana mfano angekukuta umegeukia upande ambao haujamuona angekudhuru. Hili sio jambo dogo. Kuna binti hapa mumewe alimpiga makofi mchana. sasa mwenyewe akafuga hasıra weee usıku wakatı wa kulala jamaa kaanza kukoroma. binti kaamka akachukua kigogo cha kusukumia chapati akampiga kimoja tu kwenye upara. Jamaa alishonwa nyuzi za kutosha na ndoa ikaishia hapo maana mke pia alikimbia japo mume alimbembeleza sana warudiane. Hapo kwenye silaha ni hatari. Ingekuwa ni huku kwetu uchagani huyo mwanamke msamaha wake lazima aje na sale pamoja na mbuzi.
Mkae na wazazi muyajenge. Binaadamu wana mapungufu mengi sana na msingi wa ndoa ni kuvumilia. Tabia ya uandishi wa habari waambie pia kwenye kikao kuwa huipendi yeye ameshaolewa na anatakiwa ayahifadhi ya nyumbani kwake na sio kila kitu kuhadithia.
Kama huyo dada sio mchepuko wako kwa nini ulipoona text kwamba umpigie ulienda kumpigia sebuleni na si hapo hapo chumbani? ulitaka kuficha nini?upo sahihi mkuu, lakini elewa kwamba, mimi najitambua, ningekuwa sijamheshimu ningeongelea hili suala mbele yake kule chumbani. Yeye ndo alinyata kunifuata kunisikiliza naongea nini na nan? lakini hakuwa na subira, angekuwa na busara angesubiri nimueleze pia ningempa aongee na yule dada
yani hapa nahisi sijafit the way jamaa alivyokuwa ananihadithia, maana nilimuona ana jeraha ndio akanipa full stori, akanitaka na ushauri. Alikuwa ana hisia kali sana, utamuonea huruma. Na mimi nimeamini kweli hakuwa na kosa, maana nilimbana sana akasema hajawahi msaliti mkewe tangu afunge ndoaSa mbona unaongea kwa mahisia
kweli mkuu, ila suala la kumpata mwenzi NDOA sometimes ni kama kucheza BIKO tu. Maana ni ngumu kujua kama mtu unaendana naeWanawake wazuri waadilifi hamtuoi mnaenda kuowa wauaji mwanamke unashikaje kisu huyo mwangalie sana pole mwaya
Huyo dada ni rafiki wa muda mrefu kabla hata hajamjua mke wa ndoa. Na hakuwa wazi kutaja ugonjwa wake, jamaa ndio alimhoji sana na kumwambia mficha maradhi kifo kitamuumbua, ndio akafunguka kuwa ana bleed mfululizoUmesema huyo dada anaebleed ni Nani yako?
Kusepa hutasepa na ndoa itadumu utashangaa, trust me!Mimi navumilia mengi ya kutisha shida watoto tu nangoja wakue kidogo nisepe so hapa naishi KISUNGURA TU.
nmecheka mnoMtwangio na kisu...shemeji alipitia jkt nini..
Turudi upande wako unamskia mke wako anaongea na simu na mwanaume alafu mwanaume anamwambia kuwa mboo yake inasimama usiku kucha amkopeshe hela aende hospital ungejiskiaje mkuu ??
Tena wewe ulivyomkorofi nahisi ungemuangushia ukuta ili afe kabisa..
Hapo kuwa mwanaume tumia akili mshape mke wako acha kumsingizia kuwa ni reporter sana hiyo ndio asili yao wanawake hawana koromeo.
Mwanaume hakimbii nyumba rudi nyumbani kaa na mkeo vizuri mpe maneno matamu tamu ye mwenyewe atapiga simu kwa mama ake na kumwambia mama nilikua nakutania.
Ungekua daktari na huyo dada ni mgonjwa wako kusingekuwa na shida