Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,400
- 79,640
umenichekesha hapo mwanzoMtwangio na kisu...shemeji alipitia jkt nini..
Turudi upande wako unamskia mke wako anaongea na simu na mwanaume alafu mwanaume anamwambia kuwa mboo yake inasimama usiku kucha amkopeshe hela aende hospital ungejiskiaje mkuu ??
Tena wewe ulivyomkorofi nahisi ungemuangushia ukuta ili afe kabisa..
Hapo kuwa mwanaume tumia akili mshape mke wako acha kumsingizia kuwa ni reporter sana hiyo ndio asili yao wanawake hawana koromeo.
Mwanaume hakimbii nyumba rudi nyumbani kaa na mkeo vizuri mpe maneno matamu tamu ye mwenyewe atapiga simu kwa mama ake na kumwambia mama nilikua nakutania.
Ungekua daktari na huyo dada ni mgonjwa wako kusingekuwa na shida