Hii ndoa inanivunja moyo, najuta kwanini nilimuoa huyu mwanamke

Mtwangio na kisu...shemeji alipitia jkt nini..

Turudi upande wako unamskia mke wako anaongea na simu na mwanaume alafu mwanaume anamwambia kuwa mboo yake inasimama usiku kucha amkopeshe hela aende hospital ungejiskiaje mkuu ??

Tena wewe ulivyomkorofi nahisi ungemuangushia ukuta ili afe kabisa..
Hapo kuwa mwanaume tumia akili mshape mke wako acha kumsingizia kuwa ni reporter sana hiyo ndio asili yao wanawake hawana koromeo.
Mwanaume hakimbii nyumba rudi nyumbani kaa na mkeo vizuri mpe maneno matamu tamu ye mwenyewe atapiga simu kwa mama ake na kumwambia mama nilikua nakutania.

Ungekua daktari na huyo dada ni mgonjwa wako kusingekuwa na shida
umenichekesha hapo mwanzo
 
kama kisu kilishikwa ni swala la kuwa makini na huyo mwanamke maana ka ameweza mwaga damu mkononi shingoni hatoshindwa
 
Pole kwanza kwa kuchezea makofi mawili matatu maana najua hayo huwezi kuhadithia. Halafu wanaume wenzako moto ukiwaka huwa hawajifungii ndani bali wanatoka nje.
Pili japo mkeo aliover react lakini wewe mwanaume jiweke kwenye nafasi yake sasa ndio kapiwa simu halafu akaenda barazani na mwanaume tu anayefahamiana naye akawa anambembeleza amkopeshe halafu ukawa umesikia. Mkeo huyo wa ndoa wamsiki jamaa anabembeleza akopeshwe na jamaa wala humjui. Hapo mkuu ulifanya makosa sana. Simu kama hizo ungeenda kuongelea mbali huko. Alichofanya cha kuibamiza simu kwa hasira ni justifiable given that hata wewe ungeweza kufanya kama hivyo. Kumpiga mke vibao ni makosa japo nikiri hasira ndio zinaponza lkn ni kosa.
Jambo la kuogofya ni mkeo kukushikia kisu na mtwangio. Hii kwa kweli haikubaliki maana mfano angekukuta umegeukia upande ambao haujamuona angekudhuru. Hili sio jambo dogo. Kuna binti hapa mumewe alimpiga makofi mchana. sasa mwenyewe akafuga hasıra weee usıku wakatı wa kulala jamaa kaanza kukoroma. binti kaamka akachukua kigogo cha kusukumia chapati akampiga kimoja tu kwenye upara. Jamaa alishonwa nyuzi za kutosha na ndoa ikaishia hapo maana mke pia alikimbia japo mume alimbembeleza sana warudiane. Hapo kwenye silaha ni hatari. Ingekuwa ni huku kwetu uchagani huyo mwanamke msamaha wake lazima aje na sale pamoja na mbuzi.
Mkae na wazazi muyajenge. Binaadamu wana mapungufu mengi sana na msingi wa ndoa ni kuvumilia. Tabia ya uandishi wa habari waambie pia kwenye kikao kuwa huipendi yeye ameshaolewa na anatakiwa ayahifadhi ya nyumbani kwake na sio kila kitu kuhadithia.
 
Sina mpango wa kukaa kikao, ni kuwapotezea muda ndugu. Ila nitakuwa tayari kwenda ikiwa atalipeleka hili suala ktk neutral platform namaanisha kanisani

Kanisani kufanya nini mchingaji mwenyewe ana matatizo yake..
Wewe rudi nyumbani kamalizane na mke wako yeye atamalizana na ndugu zake..

Hivi ndivyo wanaume wanavyofanya
 
Mkuu! mke anasameheka kwa kila jambo au kosa alifanyalo pasipo kujali chochote maana sisi wanaume huwachukulia kama watoto tu. Ila wasi wasi wangu ni hizo mbinu zake za kujihami siyo nzuri kabsa maana ipo siku kama utani atatoka na utumbo wako, Ogopa sana mtu anayetumia dhana za vita.. Hebu kubali kosa lako mbele ya wazazi wako plus wazazi wake then muulize why alifanya ivo? Uliza kama kwake ni sahihi kusimama mbele yako na hizo dhana? pia hoji kama wew ukizitumia ni sawaa kwake?, Then waachie wazazi wake wamkanye kwa hicho kitendo na uumpe mashariti yako katika nyumba yako mbele ya wazazi wote na mwelekeze haki yake anatakiwa aombe vipi endapo ataona anaonewa. Samehe rudi kuishi na mkeo mpya.
mkuu wazazi wapo mbali sana. Halafu pia sikupendezwa na yeye kulifikisha hili suala kwa wazazi bila ya kuvuta subira
 
Mkuu! mke anasameheka kwa kila jambo au kosa alifanyalo pasipo kujali chochote maana sisi wanaume huwachukulia kama watoto tu. Ila wasi wasi wangu ni hizo mbinu zake za kujihami siyo nzuri kabsa maana ipo siku kama utani atatoka na utumbo wako, Ogopa sana mtu anayetumia dhana za vita.. Hebu kubali kosa lako mbele ya wazazi wako plus wazazi wake then muulize why alifanya ivo? Uliza kama kwake ni sahihi kusimama mbele yako na hizo dhana? pia hoji kama wew ukizitumia ni sawaa kwake?, Then waachie wazazi wake wamkanye kwa hicho kitendo na uumpe mashariti yako katika nyumba yako mbele ya wazazi wote na mwelekeze haki yake anatakiwa aombe vipi endapo ataona anaonewa. Samehe rudi kuishi na mkeo mpya.
thanks mkuu
 
Mweleze Ukweli Kuhusu Simu Uliyokuwa unaongea nayo. Muweke Wazi na Umkanye Kwamba sio Kila ugomvi Wenu Lazima aupeleke Kwa ndugu. Mwambie haikukupendeza yeye kukushikia siraha. Jioni Ukirudi mletee kijizawadi Kisichozidi buku, Mwambie Unampenda na Unafanya hivyo Kwa maslahi ya ndoa yenu (huenda Mkeo anakupenda, ana wivu na wewe ila tu hakuamini maana hatujamskiliza na yeye). Mpe mwaka mwingine wa uangalizi.

Mwisho Kabsa,KUWA MWANAUME
asante kwa ushauri mkuu
 
Mkuu wala sitaki ujitete hapo uliteleza kumpa confidence huyo mkewe ungeongea mbele yake halafu umpe maelezo kwa ufupi nani amekupigia simu sababu huyo ndo mwandani wako.....pole sana lakini
sawa mkuu, ila kama umesoma vizuri, sikupata hata chansi ya kujitetea mana alivunja simu, alinipanikisha hasira
 
Back
Top Bottom