Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,160
- 188,656
Loyal*hao wenye uso wanakuaga royal sana....alafu engine zinakuwa bado nzima kabisa
Loyal*hao wenye uso wanakuaga royal sana....alafu engine zinakuwa bado nzima kabisa
Mchapiounaelewa maana ya royal??
Ya nn kuwaharibia watoto sura?hao wenye uso wanakuaga royal sana....alafu engine zinakuwa bado nzima kabisa
Halafu bado mabaharia watakuwekea kikao kwanini umpende msichana mwenye uso na sio sura kisha watakuja na jibu kuwa kuna kitu anacho special sana ndo maana upo naye kinachofuata ni kugongewa tu mbaya zaidi ukija hapa kufungua uzi watataka picha kwanza ....mwishow unakufaHuyo mwenye uso ndo wakuoa huyo mwenye sura niwakuchezea other factor remain constant
Hilo pozi sasa!🤣Dooh. Huu nao pia ni Uso Mkuu.
Mtoto wako atatokaje?Huyo mwenye uso ndo wakuoa huyo mwenye sura niwakuchezea other factor remain constant
Hivi ni mimi tu ndio naonaga binti wa kagame ana sura ya kawaida sana.
Kwahiyo tusitoe maoni yetu ? Mzuri machoni kwako mkuu mimi hapanaWivu unakusumbua
Maoni yako yanakuelezea undani wakoKwahiyo tusitoe maoni yetu ? Mzuri machoni kwako mkuu mimi hapana
Kwamba nna wivu😆😆😆 asa cha kuonea wivu hapo nini mkuuMaoni yako yanakuelezea undani wako
Mwenzio ana sura we una usoKwamba nna wivu😆😆😆 asa cha kuonea wivu hapo nini mkuu
sura gani? Hio sura ndefu kama record za genocide 😆😆 labda kama ana sura ingineMwenzio ana sura we una uso
Sura
View attachment 1236712
Uso
View attachment 1236714
Kama ulishawahi kuambiwa una uso mzuri jitafakari...
Joke
Mi thomaso siezi amini ata ukinionesha labda tukutane in real lifesura gani? Hio sura ndefu kama record za genocide 😆😆 labda kama ana sura ingine
Mimi nna sura yangu nzuri mkuu usitafute niipost
Hahahahahaha usijali ukiniona utamsahau huyo binti kabisaMi thomaso siezi amini ata ukinionesha labda tukutane in real life