Hii ndo tofauti ya sura na uso

Wewe vipi hata hujui kiswahili, uso ni kwa ajili ya binadamu, wanyama na hata baadhi ya vitu nk, na sura ni katika vitabu, majarida nk.

Uso= face, sura= chapter.

Hivyo hizo hapo ni nyuso.
Hili haimaanishi kuwa neno hili haliwezi kutumika kueleza dhana mbili.
Yapo maneno mengi tu Kama mbuzi n.k
 
Kwa kuwa unalikomalia hili neno inaonyesha bayana una USO!!


Vyovyote vile unavyodhani ukweli utabaki pale pale kwamba uso na sura ni maneno tofauti kwa vitu tofauti.

Sura (Surah/سورة) ni mlango au chapter katika kiingereza. Na Uso ni wajih au face katika kiingereza.

Mtu huwezi kusema "nimempiga surani" bali utasema "nimempiga usoni".

Kwanini hutaki kujifunza lugha sahihi???🤣🤣, au uso wako kama ngiri nini??!!🤣🤣
 
Huyo mwenye uso anajicho la kudamshi
kila saa kama anahisi usingizi
 
Uyo mwenye uso,, ana tattoo on her shoulder Ni ishara mbaya Sana si wakula hata bure kifupi ni "MALAYA MWANDAMIZI" on my experience
 
Vyovyote vile unavyodhani ukweli utabaki pale pale kwamba uso na sura ni maneno tofauti kwa vitu tofauti.

Sura (Surah/سورة) ni mlango au chapter katika kiingereza. Na Uso ni wajih au face katika kiingereza.

Mtu huwezi kusema "nimempiga surani" bali utasema "nimempiga usoni".

Kwanini hutaki kujifunza lugha sahihi???🤣🤣, au uso wako kama ngiri nini??!!🤣🤣
1200px-Warthog%2C_male%2C_Serengeti.jpg
niombe radhi!! Mimi Sina uso Nina sura Tena handsome... Hii ngiri tafuta wa kumfananisha nae
 
Ni nadra sana kumkuta mwanaume amemuoa mwanamke mtoa tigo
Mwanamke mzuri sana
Mwanamke mwenye makalio makubwa
Hao wapo kwa ajili ya matumizi tu
 
Back
Top Bottom