CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
mtualikage na sie makwenu jamani....dooooo....samakiiiii......
hichi ni kimzigo cha nini....?
Karibi preta ni Pm nikutumie nauli kabla salary ya november haijaishaaaa
Kuna senene wali okwa kwa Moshi. Ukipewa hako kamzigo lazima ununue waxii pair tano!!!
sasa hivi.....kutoka Yaeda mpaka huko nitapita njia gani...? ili nijue.....
Dada nashukuru ila sijaelewa. Mpe hai Mzee S. Rweyemamu. Karibu Bukoba
hichi ni kimzigo cha nini....?
Hapa ni mambo ya samaki, bei pooooaaaa, unakula tu mchemsho wa fish.
Na hizi ndizo ndizi zenyewe aina ya kulekule, ambako mwana mama akizila hizi Mambo ya "katerero" yanaenda sawia, maana maji yanakuwa ya kutosha,
Ukiongeza na hizi utamu ndo unakolea. maji yae yanatoka yakiwa matamu no salt.
Ukiongeza na passion hizi za kienyeji water natoka ikiwa na smell nzuri, sasa kilichobaki ngoja nikatafute picha za senene.
FF Ndio hawa ambao MS kwenye thread zake anasema kanisa linwafitini kule BKB ?Maana yake ni, Kwa shani yake Mwenyeezi na azidishe baraka.
Huyo S. Rweyemamu ndio nani?
Bukoba kwetu, unaijuwa Mauwa Guest House? ya Marehem mkwe wangu ile (baba'ke mume wangu, Marehem Abdallah Ngozi) waulize kina Kichwabuta, Marehem Mzee Abdallah Suedi ni watu wangu wa karibu, wananifaham sana.