Hivi waliotangaza kuwa maisha ni magumu sana mabasi yamepaki hamna abiria wa kusafiri, wanajisikiaje kuona watu wamekosa mabasi ,na wengine wakidandia coaster kwa nauli mara mbili.
what a coincidence? Ujue hata mimi nilishagoma kuoa pande hizo, mbwembwe za kwenda kuonesha bingwa wa kulewa ukweni sizitaki. Kwa hiyo Xmas hii wewe uko pande zipi?
Chuki binafsi, kama mkimbizi Tanzania rudi kwenu, acha watu na tamaduni zao bana, ni moja tukio kubwa sana ndani ya Tanzania kwa wachaga kwenda kwao kwa wingi, Nashauri itangazwe kuwa ni moja kivutio cha watalii kutembelea moshi msimu huu.
Sie kwetu ntwara kila mtu asilimia kubwa tunatumia private cars sio hawa warombo wanajazana kwenye magari ya umma ka mafanensi ya tandika. Badilikeni nyie ndumbu.
Sie kwetu ntwara kila mtu asilimia kubwa tunatumia private cars sio hawa warombo wanajazana kwenye magari ya umma ka mafanensi ya tandika. Badilikeni nyie ndumbu.
Hakuna mikoa yenye watu maskini kama yenu, huku mkishindia ugali kwa mapanki.
Mkoa wa Kilimanjaro unajidhihirisha wenyewe.
Sasa hivi mji wa Moshi umejaa Prado,lx, land cruiser v8 zinakwenda kupaki kwenye majumba ya kifahari yaliyo vijijini, yaliyojengwa kwa matofali na kuezekwa vigae na yenye madirisha ya aluminum.
Kama unaweza kwenda kwenu kila unapojisikia basi hata kazini unaenda kila unapojisikia. Hayo maendeleo mtayapata sasa ngapi wakati upo kwenu Tanga ukila bata.