Hii ndiyo Tanzania mpya chini ya Lowassa!

Hii ndiyo Tanzania mpya chini ya Lowassa!

Hawa watu nafikiri wanatuona watanzania wote ni mambululu wanataka kutimuza ndoto uzeeni

Na hao vibabu wote wamepaona pachungu baada ya magufuli kuteuliwa.
Wanajua hana ushwahiba na haangalii sura vidili vyao kwishney ha ha ha.
 
Ukawa ina majembe ya hatari,baada ya uchaguzi watanzania watakuwa wameanza kuonja raha na matunda ya amani na Uhuru wa nchi yao iliyojaa raslimali tele
 
Mithali16:31" Kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu km kikionekana kwenye njia ya haki". kwahyo hao wazee tuwape heshima yao.
 
Mithali16:31" Kichwa chenye mvi ni taji ya utukufu km kikionekana kwenye njia ya haki". kwahyo hao wazee tuwape heshima yao.
Kingunge haamini dini, kwa hiyo unapoteza muda wako bure kuleta nukuu toka kwenye Biblia.
 
Wangetoka akina Warioba, Butiku walau ningehoji akili yangu kama nipo sahihi kukataa mabadiliko haya feki ....
Kuna sauti za statesman ukizisikia huwezi kuzipuuza.

Kuna pia sauti zingine za senior citizen ukisikia unafahamu chanzo ni maslahi binafasi.
 
Unamdanganya nani, wewe mpiga debe wa Mr Push-up????? Kibaki na wazee wenzake huko Kenya, walimwacha Moi na KANU yake, na kujiunga na upinzani, na matokeo ya spidi 120 yalionekana. Nenda Kenya hata leo ukaulize, watakwambia kazi za Kibaki aliyekuwa hataki maneno mengi, kama Lowassa. HATUDANGANYIKI!!!!!!!!!! TUMEKWISHA KUAMUA, Rais wetu ni Lowassaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!
Kabla hujaanza kudandia mifano ya Kenya, ulitakiwa kwanza ufanye tafiti!

Hizi fikra za copy & paste haziwezi kukusaidia hasa kama hufahamu unacho copy & paste!
 
Monduli kumemshinda
 

Attachments

  • 1444762998991.jpg
    1444762998991.jpg
    119.4 KB · Views: 182
Haya ndiyo Mabadiliko Lowassa, Lowassa mabadiliko!

Hii ndiyo safu ya Tanzania mpya yenye fikra mpya!

Kuna wengine wamekuwa viongozi katika nafasi za juu kabisa za utendaji kabla hata nchi haijapata uhuru!

Hii ndiyo safu itakayowakimbiza Watanzania kwa speed ya km 120!

Ninashindwa kuelewa kama ninaota au ninaishi kwenye ndoto!

There are no desperate situations, there are only desperate people-Heinz Guderian

Haya ndiyo mabadiliko tunayoyataka!

Tanzania iko mbioni kuingia kwenye Guinness World Records!

12109036_1511170319203725_7893429866689020787_n.jpg

c


Picha zao tu zinaonesha wote taabani.
 
Katika hao kuna waliokuwa na nafas za juu sana. Ni mwapachu tu hajawahi kuwa juu sana.
Wengine hao wamewah kuwa na madaraka na nafas nyet sana lakin wapi hamna kitu

Waliishia kupiga rushwa au kuchekea rushwa ikipigwa

Ndo akili zenu wapiga debe wa mafisiemu zimefika hapo?nani kakuambia sumaye,kingunge,mwapachu wanatakauongozi ndani ya ukawa hivi hamuoni majembe ya hatari tena vjn watupu wapo tayari kushambulia kama nyuki kwa speed kali ya120kmh..nikutajie..kubenea,lissu,msigwa,mtatiro,nasari,bulaya,mdee,myika,kafulila..bado majembe mengine yanapiga jaramba utakoma kuringa..taja kikosi cha malocks..prof Tiba,Chenge,ngeleja,nyalandu.,na mashit yote ya ufisadi..titafikaaa????
 
Nadhani hukumuelewa masolex..kuna watu mchana wapo ccm uck wapo ukawa..Thnk big bana
Kwa hiyo hatutakuwa tunakosea tukisema Sumaye mchana ni Lowassa, usiku ni Magufuli!

Hizi hoja nadhani hazina mashiko hasa ikichukuliwa hawa watu wanamnanga mgombea Urais.
 
Muandika Uzi huu , Nina jiuliza personality yako + thinking ability yako
Ndo maana tunasema elimu , elimu , elimu ....ili watu dizain yako mkombolewe
 
Ttzo lako unapenda kuona fikra zako ndio sahh kwani umesikia hao jamaa ndio mawaziri
Kama ningekuwa napenda kuona fikra zangu ni sahihi kila wakati nadhani nisingeleta hata thread ili kupata michango yenye fikra kinzani.

Kwani lazima uwe Waziri katika mchango wa 120 Km/h katika serikali ya Lowassa?
 
Sisi hayo unayoyaangalia na kuyawaza sio kazi yetu kazi tuliyonayo kwa sasa na tunachotaka kwa sasa ni kuitoa ccm madarakani tu na sio vinginevyo awe na speed asiwenayo cc hatuangalii hilo
 
Hawa wamejitolea kusimamia ukweli na hawakuja kutaka ubunge na kadhalika. Nafasi za wanaukawa hazijachukuliwa na wageni kwahivyo Ukawa hawana budi kuwakaribisha
Ukweli upi wanaosimamia?

Nafasi zipi za CHADEMA/UKAWA hazijachukuliwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom