Wanasema hata walipokuwa CCM walitaka mageuzi!
Hawasemi ni mageuzi gani waliyataka ndani ya CCM kwa sababu hatukuwahi kuwasikia wakitamka neno mageuzi au kuionya CCM kuhusu kupuuza ajenda zao.
Hata mageuzi wanayoyasema kwa sasa ni vague. Neno mageuzi linatumika kama justification ya kuomba kura.
Mawazo mapya wameyapata baada ya kuzeekea ndani ya CCM. This is fun!
Makongoro alitoboa siri kuwa, mageuzi waliyoyataka Lowassa na timu yake ndani ya CCM ilikuwa ni kumpindua JK anyang'anywe uenyekiti ili asiwazibie mambo yao.
Source: Hotuba ya Makongoro Nyerere ya kutangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM.