Hebu ipange hiyo safu katika wizara 8 muhimu.
Kisha uniambie hiyo kasi ya kumzidi mlugo itatoka wali na kwa nani.
Muongeze na Lema na Sugu hapo juu.
Sumaye keshasema hakuna wanaojua utumishi wa umma huko.
Speed 120.
Utashangaa
Si bora hawa???
Nyie ccm mnatudanganya Tanzania ya maguful?
Nchi itajengwa na mtu mmoja?
Mtu ambaye amesimamia ujenzi wa barabara chini ya viwango,
Mtu aliyeshindwa kulipa wakandarasi na sasa nchi inalipa faini ya kuchelewesha malipo
Mtu aliyewapa ndugu zake nyumba za serikali,
Mtu aliyeshika wachina kwa kuvua samaki akitaka sifa kumbe hakuwa na hoja za msingi sasa nchi inaingia hasara ya mabilion kulipa fidia,
Mtu anayesema ataunda mahakama maalum ya mafisad wakati serikali yake imeshindwa hata kujaribu kuwashtaki, inalalamikia wananchi na kushika wapinzan tu.
Mtu mnafiki anayejifanya anachukia rushwa wakat anatumia gar za serikali kufanya kampen, anagawa tisheti na kofia kwenye kampeni zake, anahonga watu pesa I'll wahudhurie mikutano yake, anabeba watu kwa malori kwenda kwenye mikutano yake, RUSHWA TUPU.
Mtu ambaye anaikosoa na kuilalamikia serikali ambayo yeye bado ni Waziri katika baraza la mawaziri na hesimi amefanya nn kuondoa kero za wananchi akiwa kama mshaur wa rais kama Waziri,
Mtu asiye na utu wala huruma kwa wananchi wanyonge, alisema wapige mbizi, wasambaze vinyesi barabarani viwe lami,
Mtu aliyeishiwa hoja na kutaka ikulu kwa kutisha watu kuwa wakichagua upinzani itatokea vita maana yake n kuwa hayupo tayari kukubal maamuz ya wananchi kuikataa ccm,
Mtu ambaye hawez kupanga wazimamiz vizur hadi aende saiti akasimamie mwenyewe, sasa rais akienda saiti sjui itakuwaje?
Mtu ambaye hana uzoefu wa uongoz, hajawah hata kuwa baloz wa nyumba kumi kwenye chama.
Mtu ambaye hajui kingereza vizuri
Mtu ambaye anatumia kiki ya kusalimia watu kwa makabila kwenye kampeni wakati watanzania tunaunganishwa kwa kiswahili.
Mtu ambaye anapiga push up jukwaan mbela ya watoto na wajukuu wkat hana hata historian ya kwenda Jim,
Mtu ambaye anadhihaki afya ya mwenzie wkat yy alienda kwa babu wa loliondo kugonga kikombe.
Mtu ambaye so and so and soooo.